Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Fursa ya Chelsea ya kumsajili beki wa kati wa Sevilla mwenye umri wa miaka 22 Jules Kounde itategemea iwapo kandarasi ya beki wa Ujerumani Antonio Rudiger na mabingwa hao wa Ulaya itatatuliwa.
 
Tujipange kisaikolojia kabisa, siku tukifungwa Zile NYUMBU na matakataka ya London zitajazana humu mpaka tukomae. Wana hasira sana na sisi.

Kufungwa kawaida mkuu. Matani ni sehemu ya burudani ili uishi kwa furaha katika maisha yako usichukulie ushabiki very seriously na matani haya tunayotaniana humu kipindi kile tunapata vipigo takatifu nilikuwa nawachora tu. Mpira ufunge na si kufungwaa🤪🤪🤪
 
🚨PSG manager Pochettino on Chelsea:

🗣"It's possible that Chelsea and ourselves are the 2 teams to beat on paper, looking at our squads, but Chelsea are the holders so they're the team to beat especially after strengthening their squad. We're not a team yet. We are a club that has recruited many players"😎
 
Nipo hapa naangalia mechi kati ya Atlentico Madrid na Porto hii mechi kali sana. Imenikumbusha msimu uliyopita jinsi tulivyowakunguta hawa jamaa.
 
The BLUES Hongereni kwa ushindi wa jana point 3 muhimu. Sikubahatika kuingalia hiyo mechi.

Partnership ya Azipi na Lukaku inazidi kuwa moto.View attachment 1938886
Azpi hii kross yake ikitumika vizuri inaweza kuiokoa dunia na majanga mengi sana.
Lukaku the Great anafunga kwenye angle yeyote ile.
Hawa zenit walikuja na mfumo wa kukaba zaid na walifanikiwa kwa asilimia kubwa ila kwa sasa Chelsea hatushikiki.
Jukwaa letu kwa sasa limetulia sana ni karibu miezi miwili inaisha hatujaona matakataka yakizagaazagaa humu.
Kwenye huu mtanange siyo kwamba hatutapoteza ..bali tusipoteze kizembe kama yale manyumbu, tupoteze kibabe yani..
 
Saivi tunawakera hadi wameanza kujenga chuki binafsi hahahaha ..yani ukienda kwenye majukwaa yao ni Chelsea fans wamejaa tu ni mwendo wa kuwakera hadi kieleweke hahahaha

Ila siku tukipigwa tujiandae aise, tutavamiwa hadi majumbani kwetu hahaha
Sifa keroooo!
 
Beki wa Chelsea Antonio Rudiger huenda akauzwa ili kufadhili ununuzi wa beki wa Sevilla Jules Kounde . Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 28 raia wa Ujerumani ananyatiwa na klabu za PSG na Real Madrid , lakini ameonekana kuwa kiungo muhimu wa safu ya ulinzi wa mkufunzi Thomas Tuchel.
 
Usiku wa tarehe 14 wakati Reece James akiwa anaitumikia club yake kwenye mashindano ya UEFA wezi waliingia nyumbani kwake na kuiba vitu ikiwemo medali yake ya UEFA, EURO na UEFA SUPER CUP
20210916_164633.jpg
 
Usiku wa tarehe 14 wakati Reece James akiwa anaitumikia club yake kwenye mashindano ya UEFA wezi waliingia nyumbani kwake na kuiba vitu ikiwemo medali yake ya UEFA, EURO na UEFA SUPER CUP View attachment 1940569
Duh ina maana hadi ulaya kuna waizi kumbe??! Sasa hizo medalist wanaenda kuuza au!? Hao itakuwa ni mashabiki wa manure au arse8 hao
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom