Ibilisi
JF-Expert Member
- Jul 12, 2017
- 3,465
- 5,594
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Hata mimi niliwaza hivyo, labda manure kwa sababu ni juzi tu RJ alimtoa dada yake huko na kumleta Chelsea
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Hata mimi niliwaza hivyo, labda manure kwa sababu ni juzi tu RJ alimtoa dada yake huko na kumleta Chelsea
Hasira za mkizi furaha kwa mchukuzi, huweziamini hata huku mtaani wanasema kuwa Chelsea yuko vizuri, hivyo wanaapa siku akifungwa tu nao ni shangwe, nderemo na vifijo [emoji1732][emoji28]Tujipange kisaikolojia kabisa, siku tukifungwa Zile NYUMBU na matakataka ya London zitajazana humu mpaka tukomae. Wana hasira sana na sisi.
Arsenal fan yao sio wizi, ni "lacazetelisation"Hawa ni arsenal maamae
Usiogope kutesa kwa zamu [emoji23][emoji23][emoji23]Saivi tunawakera hadi wameanza kujenga chuki binafsi hahahaha ..yani ukienda kwenye majukwaa yao ni Chelsea fans wamejaa tu ni mwendo wa kuwakera hadi kieleweke hahahaha
Ila siku tukipigwa tujiandae aise, tutavamiwa hadi majumbani kwetu hahaha
Mkuu mendi angekuwa mzungu nahisi angekuwa wa no 1View attachment 1940891View attachment 1940893
Jan oblack ndiye highest-rated mwaka huu na kwenye top 20 Mendy hayupo (lakini kipa wa Arsenal Leno yupo top 20, kitaalam hii imekaaje.?)
Acha kuwa kilaza mkuuSpur's anatakiwa atandikwe goli hta tatu ivi, asilete mambo yake ya dharau
Saul hawezi kuanza hiyo mechi ni London derby hiyo na kumbuka viungo wa tot wanakasi sana kama ataingia basi ni dakika za mwisho tunahitaji kujiakikishia ushindi kwanzaVs Tottenham
------- WERNER - LUKAKU - KAI ------
ALONSO ---- JOGINHO --- SAUL ---- AZIPI
---- CHILWELL -- THIAGO -- CHRISTENSEN---
SAUL - Apewe nafasi nyingine ya kucheza, azidi kuimarika dakika 45 zitamtosha then kamanda kova in.
KANTE - Aendelee kupumzika apone kabisa, kuna mechi ya city kesho kutwa tunamuhitaji akiwa full fit.
CHILWELL - Na yeye acheze sasa au mnasemaje jameni?
Kwani chilwell na Alonso hawawezi kucheza pamoja?
RUDGER RUDGER RUDGER - Hii machine inatakiwa ipumzike, itaungua
PULISIC - Aendelee kula mshahara bure
Uzuri football haiendeshwi na bangi Kama hizi ,[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Hiyo game na Spurs ni must win game kwa vyovyote vile bila kujalisha spurs wako vizuri/vibaya kiasi gani ..tunapaswa kuishinda hii game ili tuendelee kutamba hapa jf na huko mtaani na duniani kwa ujumla.
CFC
Wee kinabo tulia hivyo hivyo tukishampiga mchepuko wako Spurs tunarudi kuja kukupangusa tena maana ushakuwa kibibi chetu.Uzuri football haiendeshwi na bangi Kama hizi ,[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app