Kwani huyu anacheza nafasi gani? Central midfielder, Attack midfielder or defensive midfielder?Conor Gallagher wins Crystal Palace's Player of the Month award. Much deserved!
🏟 3 games
⚽️ 2 goals
🅰️ 1 assist
Kwani huyu anacheza nafasi gani? Central midfielder, Attack midfielder or defensive midfielder?Conor Gallagher wins Crystal Palace's Player of the Month award. Much deserved!
🏟 3 games
⚽️ 2 goals
🅰️ 1 assist
CM na AM simuonagi kucheza kama DMKwani huyu anacheza nafasi gani? Central midfielder, Attack midfielder or defensive midfielder?
Hiv ukipewa kadi nyekundu ya moja moja kwenye ligi ya epl inahesabika mpaka kwenye carabao cup hama fa cup? au kwenye ligi pekee?CM na AM simuonagi kucheza kama DM
If am not mistaken ni ligi pekee mkuuHiv ukipewa kadi nyekundu ya moja moja kwenye ligi ya epl inahesabika mpaka kwenye carabao cup hama fa cup? au kwenye ligi pekee?
Kwamaana hiyo Reece James atakosa mechi ya Man cityIf am not mistaken ni ligi pekee mkuu
Mashindano yote. Epl, Efl na fa... Walibadili sheria mwaka jana nadhani.If am not mistaken ni ligi pekee mkuu
Hiv ukipewa kadi nyekundu ya moja moja kwenye ligi ya epl inahesabika mpaka kwenye carabao cup hama fa cup? au kwenye ligi pekee?
Atakuwepo mechi ya city...anazikosa 2 za Aston villa na spurs ....Kwamaana hiyo Reece James atakosa mechi ya Man city
Usije baadae ukakimbia tu hivi kwa team aliyonayo Chelsea anaanzaje kutesekaHii timu ikiwa inateseka huwa nafurahi Sana ....
Zenet hakikisha wanapata tabu hawa vinabo
Leo saa 4 usikuWazee leo tunakipiga au kesho?
Mbele kuna ziyech na lukakuPredicted line up yangu
1
Mendy
Alzipicueta. Christensen. Rudiger.
James. Jorginho kova. Benchil.
Mount. T.Werner
Lukaku.
Soma hiyoHii timu ikiwa inateseka huwa nafurahi Sana ....
Zenet hakikisha wanapata tabu hawa vinabo
CAMKwani huyu anacheza nafasi gani? Central midfielder, Attack midfielder or defensive midfielder?
Ligi husika iliyompa red cardHiv ukipewa kadi nyekundu ya moja moja kwenye ligi ya epl inahesabika mpaka kwenye carabao cup hama fa cup? au kwenye ligi pekee?