Franky Samuel
JF-Expert Member
- Oct 10, 2018
- 5,468
- 14,622
.
Walijisahau tu.Alonso naye heshima imevuka mpaka Makamu Captain anaingia kagoma kutoa kitambaa, Na captain mwenyewe anaingizwa bado ameng'ang'ania kuwa nacho.
HIvi jaman imekaaje hii ishu...?
Nahisi labda waliongea katika dressing room tusilalamike katika vitu ambavyo hatuvijui,Alonso naye heshima imevuka mpaka Makamu Captain anaingia kagoma kutoa kitambaa, Na captain mwenyewe anaingizwa bado ameng'ang'ania kuwa nacho.
HIvi jaman imekaaje hii ishu...?
Afu jamaa analipwa £52000 Kwa wiki...n thamani kubwa Kwa pesa zetu lkn ni ndogo kulinganisha n wenzie Kwa kazi anayofanya aisee bodi inabidi wamfikirie huyu mwamba![]()
Lishabiki 1wapo la manyumbu fc limenieleza kuwa yule Mendy ni mchawi, nikajichekea kwa sauti kubwa hasa "Hiiiii hiii"![]()


Nilikosea pale man Ila Kuna source flan nimeona analipwa £75k Kwa wiki ambayo ukiconvert aisee Kwa pesa zetuKabisa aisee ivi kwa pesi yetu inakuwa kama ngapi ivi?
n zaidi ya mil 200 aisee....sema Labda na wao wanapatwa na mapanga ya Kodi huko km mapanga wanayokatwa waajiriwa WA serikali km hela z nssf, au hela z mikopo n.k.
Labda afcon ya January itamkwamishaMendi mendi mendi mendi namuombea achukue Golden Clove safari hii![]()
Labda afcon ya January itamkwamisha
Tutajuaje kiongozi, maana siku zote tunaona kiongozi akiingia huwa anapewa kitambaa.Kwani aligoma kutoa kitambaa?
Tukimpiga Spurs na kipara lazima abebe tuuMendi mendi mendi mendi namuombea achukue Golden Clove safari hii![]()
Hili jambo naona litakuwa kweliWalijisahau tu.
hakika kubwa an wenner yuko vizur wakina mount na havertz pivot yao na lukaku imekaa kiuchoyo ila wenner ataona kuliko alaumiwe kwa kukosa n bora atoe assist kwa big rom ila iz wing zetu pa1 na atacking midfielder naona zina umimi mwingNi kweli kabisa, hichi kitu nakiongea kila siku hapa, ukimuangalia Lukaku magoli mengi anafunga ni akiwa kwenye kasi.
Lukaku hapendi uchezaji wa kuingia Lundo golini/misongamano, anajikuta amezungukwa na mabeki wengi anakosa hata sehemu ya kushoot.
Werner apangwe na Lukaku, Kama unavyosema Werner hata asipofunga mchango wake ni mkubwa sana uwanjani.
Jamaa movements zake zinasomba mabeki, pia zinaacha magap wachezaji wengine kufunga. Kasi yake tuu inawafanya mabeki wa timu pinzani wasitamani kucheza naye.
Kai akicheza katikati anakuwa na speed kwenye ushambuliaji, akicheza pembeni unakuwa mpira wa misongamano.
Ziyech amejaliwa kasi na pass ila huyu jamaa mchoyo sana na zaidi hana nguvu na pumzi kucheza dakika 90.
Anacheza kwa machachari dakika kadhaa halafu anabaki kuwa mchezaji mtamazaji uwanjani. Ziyech ni mchezaji wa dakika 60 za mwanzo. Kumchezesha dakika 90 ni kucheza pungufu.
Pia nilichomsoma Ziyech akitokea bechi anachelewa kuingia kwenye mfumo wa kiuchezaji na mwenzake, anakuwa kama anacheza mwenyewe mwenyewe, nadhani ndio maana TT sasa hivi anamuanzisha mara nyingi kuliko sub
TT ni bonge la kocha nadhani anaendelea kuzifanyia kazi hizo combination hapo mbele, ila Werner sio mchezaji wa kuanzia benchi.
Km mwez mmoja hvDuuu ivi kumbe kuna Afcon eeee inachukuaga miezi mingapi?
Spurs tunampiga 100% hilo halina ubishi.Tukimpiga Spurs na kipara lazima abebe tuu
Unajua adi sometimes najiuliza ivi huyu mendi anapokuwa golini wanakuwa mendi watatu au wanne. Hapa hakika tuna kipa.