Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Tunamuhitaji lukaku hata kwa kipindi kimoja kwenye mechi ya villa msimu uliopita tumekosa magoli mengi sana na tukapoteza mechi kama tutaanza bila lukaku naona yaleyale yakijirudia kwa sababu midfield wetu wanakosa sana clear chances
Lukaku na Kante kesho wanaweza wakaanza au wakatumika kama sub
 
Confirmation from Thomas Tuchel that N’Golo Kante and Christian Pulisic are out of tomorrow’s game against Aston Villa, but the good news is that Romelu Lukaku is fit.
 
Kama vile umeshacheza na mabingwa wa ulaya tayari.... tar 25 tunakusokomeza mti kwa mara nyingine chuchunge wewe.
Mimi sisemi uongo ,Chelsea huwa anamfunga city kwa mbinde ,tena kubahatisha ...

Ni vile tu upepo unakuwa kwenu ,but hii Chelsea ni moja ya timu ya kitopolo imeyojificha London kwenye daraja la Stamford bridge [emoji38][emoji38][emoji38]
 
Confirmation from Thomas Tuchel that N’Golo Kante and Christian Pulisic are out of tomorrow’s game against Aston Villa, but the good news is that Romelu Lukaku is fit.
Uzuri na wao wanaweza wakawakosa wachezaji wao WA kiamerica kusini...kuanzia golikipa EMI Martinez, buendia, n Douglas luiz
 
Jamaa tumepigwa kwa sababu tulitegemea aje afunge magoli mengi
Hatukupigwa kwa sababu bado Werner ana potential kubwa kule mbele kuliko hata Pulisic, Ziyech na Odoi wote ukimuondoa Mount
  1. Werner ana mbio kuliko wachezaji wengi wa EPL sio Chelsea tu
  2. Werner anajua kujiposition kwenye strategic location na hivyo kumfanya kuwa threat kwa timu pinzani, tujikumbushe goli la UEFA dhidi ya Man City, Havertz alipata urahis wa kufunga kwa sababu Werner alitimua kwenye danger zone Dias akamfuata kijinga akaachia nafasi kubwa kwa Mount kutoa pasi na Havertz kufunga
  3. Werner pamoja na kukosa kosa magoli lakini bado nin uhakika atatupa double digit kwenye magoli na assists msimu huu kwa sababu hana presure kubwa kama msimu uliopita, hayo ni mahesabu poa ukichukualia kuwa tunaye Lukaku kule mbele
  4. Werner akipata mpira anajua kuassists balaa the next baada ya Mount hapo Chelsea
Uwepo wa wener uwanjani unawatengenezea room ya kufunga wengine, japo bado bahati ya kufunga haijamfikia. Goli la Uefa na la Super Cup alihusika 100%.
 
Thomas Tuchel on Saul:

Amesema kwamba ni vigumu kwenda msimu mzima ukiwa na viungo watatu Kovacic, Jorginho na Kante ukizingatia unamashindano mengi, ikitokea kiungo mmoja ni majeruhi huku mwingine amesimamishwa mchezo unakuwa kwenye hatari.

Akaongezea kuwa binafsi na Chelsea pia tulikuwa tunamtaka vipindi tofauti tofauti mimi wakati nikiwa nafundisha timu nyingine lakini nilishindwa kumpata, Tulivyoona kuna uwezekano wa kumpata kwenye kipindi Cha usajili tukaona kwanini tusimchukue.

"Saul anaweza kucheza sambamba na Jorginho, Kante au Kovacic ni mchezaji mwenye uwezo wa kupiga pass nzuri, ana nguvu na ni mzuri kwenye kukaba. Ujio wake utatufanya tuwe tuna uwezo wa kuwapumzisha Kante na Jorginho kwa baadhi ya game zinazohitajika.
John dillinger
Chaos Master
Cash Money Forever
lembu
Mkohoti
 
Thomas Tuchel on Saul:

Amesema mwamba ni vigumu kwenda msimu mzima ukiwa na viungo watatu Kovacic, Jorginho na Kante ukizingatia unamashindano mengi, ikitokea kiungo mmoja ni majeruhi huku mwingine amesimamishwa mchezo unakuwa kwenye hatari.

Akaongezea kuwa binafsi na Chelsea pia tulikuwa tunamtaka vipindi tofauti tofauti mimi wakati nikiwa nafundisha timu nyingine lakini nilishindwa kumpata, Tulivyoona kuna uwezekano wa kumpata kwenye kipindi Cha usajili tukaona kwanini tusimchukue.

"Saul anaweza kucheza sambamba na Jorginho, Kante au Kovacic ni mchezaji mwenye uwezo wa kupiga pass nzuri, ana nguvu na ni mzuri kwenye kukaba. Ujio wake utatufanya tuwe tuna uwezo wa kuwapumzisha Kante na Jorginho kwa baadhi ya game zinazohitajika.
John dillinger
Chaos Master
Cash Money Forever
lembu
Mkohoti
Kesho huenda akacheza
 
Itapendeza sana kama SAUL atakuwa na uwezo mkubwa zaidi ya Kante na Kovacic kwenye kuasists na kufunga.

Kovacic ndani ya 18 anapiga mashuti ya mtoto mdogo, hayana nguvu kabisa.

Wanasema SAUL ni mpiga pass mzuri, tukipata zile pass za fabrigas itapendeza pia.
Mbona Ziyech ni mzuri sana kwenye pass za mwisho au umemsahau?
 
Rio kasema... he is the Best
Screenshot_20210910-200138_Facebook.jpg
 
LUKAKU FIT
SILVA 50/50 -CONFIRMATION TOMORROW MORNING
KANTE AND PULISIC RULED OUT FOR INJURIES
REECE JAMES RULED OUT FOR RED CARD
 
Goli la Chalobah lashinda goli la mwezi wa August Chelsea

Hongera san Chalobah

Matokeo

Trevoh Chalobah Long Range Strike Goal Against Crystal Palace 41%
Kai Havertz’s looping header against Liverpool 30%
Marcos Alonso’s free-kick opener against Palace, 19%
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom