Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

SEPTEMBER
20210907_095257.jpg
 
Hiyo kitu ndo kikichowashinda wabongo, akikumbuka nyumbani kuna viazi na maziwa wazazi watakua wamepika..then akikumbuka tena Baba mdogo na shangazi anavyompenda....mbioo anarudi TZ akisema anateseka wakati wenzie akina Yakub wa Nigeria walikaa Gheto Misri zaidi ya miezi 8 wakiwa wanatafuta namna ya kwenda kuonesha kipaji Ulaya.
 
Sio lazima kila mchezaji akabe tulichukua taji la epl chini ya mourinho kiungo mkabaji alikuwa matic only na fabregas alikuwa free akabi kazi yake ni kuassist tu kwa Diego costa
Mpira wa sasa haupo hivyo, na sidhani kama mourinho kama alishawahi kucheza mpira bila timu nzima kukaba. Na kuitwa kiungo mkabaji haimaanishi kazi yako ni kukaba peke yako wenzako warelax, huyo wajina wako anarelax sana uwanjani.
 
Mpira wa sasa haupo hivyo, na sidhani kama mourinho kama alishawahi kucheza mpira bila timu nzima kukaba. Na kuitwa kiungo mkabaji haimaanishi kazi yako ni kukaba peke yako wenzako warelax, huyo wajina wako anarelax sana uwanjani.
Mpira wa sasa mabeki ni 9 na washjambuliaji ni 9
Wakati wa kukaba anabaki tu striker mbele na wakati wa kushambulia anabaki tu CB mmoja na kipa nyuma, usipofanya hivyo wenzako watafanya na kuchukua point mgongoni mwako. Huo ndio ukweli

Ziyech anatakiwa ajifunze tu kukaba ndipo atakuwa complete
 
Jinsi gani mchezaji hata kama ni mzuri anavyoshindwa kufit in kwenye mfumo wa kocha
TT anampendelea zaidi Alonso kwenye Left Wing Back kwa sababu Alonso ni dangerous kwenye mashaambulizi wakati Chillwell ni mzuri ila sio dangerous kwenye ushambuliaji. Anafaa zaidi kuwa LB kuliko L- W-B
Mfumo wa 343 unadepend zaidi na L-W-B na R-W-B na ndio maana Alonso amemzidi Chilwell kwenye selections nyingi
 
Beki Andreas Christensen alipoulizwa kuhusu kuongeza mkataba mpya akajibu:
"Siwezi kuongea sana, nadhani lipo kwenye mtazamo nzuri, nina furaha sana kuwa katika klabu hii na kwa Uingereza nahisi Chelsea ndipo mahala sahihi pa kuwepo".
 
Beki Andreas Christensen alipoulizwa kuhusu kuongeza mkataba mpya akajibu:
"Siwezi kuongea sana, nadhani lipo kwenye mtazamo nzuri, nina furaha sana kuwa katika klabu hii na kwa Uingereza nahisi Chelsea ndipo mahala sahihi pa kuwepo".
Huyu jamaa namfeel sana amenifanya nimekuwa shabiki wa Denmark kwa sasa aisee. Na Denmark inavyopeleka moto ni hatari
 
Huyu jamaa namfeel sana amenifanya nimekuwa shabiki wa Denmark kwa sasa aisee. Na Denmark inavyopeleka moto ni hatari
Under #Thomas_Tuchel, Chelsea have only conceded 10 goals in the last 23 games in which #Andreas_Christensen has played. 🤯

5 of those goals came against West Brom
 
Andreas Christensen has helped Denmark keep 3 clean sheets in 3 games during this international break. In the form of his life! 😍

Denmark in their six World Cup qualifying games: 👇😲

◉ Israel 0-2 Denmark
◉ Denmark 8-0 Moldova
◉ Austria 0-4 Denmark
◉ Denmark 2-0 Scotland
◉ Faroe Islands 0-1 Denmark
◉ Denmark 5-0 Israel

22 goals. zero goals conceded. 👌
 
Jorginho on finishing career at #Chelsea: 👇

"I have no offers and I am not really thinking about it, to be honest. I am 29 years old and you are asking me where I’ll end my career, I want to play until 40! If they sign me to a 10-year contract…" 😲

"I will let you talk about the #Ballon d’Or, I am just trying to enjoy the moment. There are still a few months to go before that decision is made and I am focused on relishing the present, then we’ll see what happens…"
 
🚨Similarities between Kovacic and Saul Niguez:

• Both came on loan initially with option to buy
• Both a CM
• Both came from a Madrid club
• Both came with a point to prove after falling out of favour at their clubs
• Both came in the prime of their career and similar ages
• Same first shirt number (17)

Kovacic won our player of the season and won the Champions League, Europa League and Super Cup with us.😎

Hopefully Saul can follow in his footsteps and find his best form again.💪👊🔵
 
"When I came back from Wigan, truthfully I thought I might have to do one more season at a Premier League team before I got my chance at Chelsea.

It came sooner than I expected and I’m thankful to Frank Lampard for giving me that chance."

-Reece James 💙
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom