Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

More on Pulisic injury..

“Christian has a slight ankle injury,” USMNT coach Gregg Berhalter said after the game. “We’re going to get more info on it when he goes back to London, the severity of it.”
20210909_100320.jpg
 
Jana kuna goli kakosa yeye na nguzo mbili za magoli kisha jamaa akapaisha juu
Jamaa tumepigwa kwa sababu tulitegemea aje afunge magoli mengi
Hatukupigwa kwa sababu bado Werner ana potential kubwa kule mbele kuliko hata Pulisic, Ziyech na Odoi wote ukimuondoa Mount
  1. Werner ana mbio kuliko wachezaji wengi wa EPL sio Chelsea tu
  2. Werner anajua kujiposition kwenye strategic location na hivyo kumfanya kuwa threat kwa timu pinzani, tujikumbushe goli la UEFA dhidi ya Man City, Havertz alipata urahis wa kufunga kwa sababu Werner alitimua kwenye danger zone Dias akamfuata kijinga akaachia nafasi kubwa kwa Mount kutoa pasi na Havertz kufunga
  3. Werner pamoja na kukosa kosa magoli lakini bado nin uhakika atatupa double digit kwenye magoli na assists msimu huu kwa sababu hana presure kubwa kama msimu uliopita, hayo ni mahesabu poa ukichukualia kuwa tunaye Lukaku kule mbele
  4. Werner akipata mpira anajua kuassists balaa the next baada ya Mount hapo Chelsea
 
Sabb ya kupata injury nying anakaa sana na mpira mguuni kuna sehem unakuta amekabwa na mabeki wawili lakini analazimisha kupita
Huyy angekuwa anakaa na mpira kama hazard or grealish ingekuaje
Au rafu ambazo hazard alizokuwa anachezewa angekuwa anachezewa yeye mbon asingekuwa anacheza
 
More on Pulisic injury..

“Christian has a slight ankle injury,” USMNT coach Gregg Berhalter said after the game. “We’re going to get more info on it when he goes back to London, the severity of it.”View attachment 1930201
Nilikuwa na maana hii kwa case ya Ziyech, haya mashindano ni kwa sababu ziko kwa mujibu wa sheria ila zina madhara zaidi badala ya faidi kwenye ligi za nyumbani
 
Mbona Hazard alikuwa anakaa na mpira lakini hakuwa hivyo
Hazard ni tofauti na Grealish na Pulisic kwenye dribbling. Hazard alikuwa more mobile and fast na hivyo kila mara kupunguza chances za kukwatuliwa. Hao wengine wanakaa na mpira hadi anakwatuliwa
 
Good News!

Chelsea haitasafiri Desemba kwenda Japan kwenye mashindano ya FIFA Club World Championship kwa sababu ya COVID-19 kuongezeka. Sasa FIFA wamesema watatangaza sehemu nyingine ambayo mashindano hayo yatafanyikia
 

Timu itakayoshiriki EPL hiyo hapo kutoka official website ya Chelsea​

Chelsea's Premier League squad is as follows:​

1: Kepa Arrizabalaga
2: Antonio Rudiger
3: Marcos Alonso
4: Andreas Christensen - homegrown
5: Jorginho
6: Thiago Silva
7: N’Golo Kante
8: Mateo Kovacic
9: Romelu Lukaku - homegrown
10: Christian Pulisic
11: Timo Werner
12: Ruben Loftus-Cheek - homegrown
13: Marcus Bettinelli - homegrown
14: Trevoh Chalobah - homegrown
16: Edouard Mendy
17: Saul Niguez
18: Ross Barkley - homegrown
19: Mason Mount - homegrown
20: Callum Hudson-Odoi – under-21
21: Ben Chilwell - homegrown
22: Hakim Ziyech
24: Reece James - homegrown
28: Cesar Azpilicueta
29: Kai Havertz
31: Malang Sarr
32: Lewis Baker - homegrown
36: Lucas Bergstrom – under-21
 
BAD NEWS: INJURIES UPDATE

1) Thiago Silva
Reasons:
FIFA Regulations: Five-day rule
Returning date: 19/09/2021
Status: RULLED OUT

2) Reece James
Reasons:
Suspended Sending Off - Red Card
Returning date: 14/09/2021
Status: RULLED OUT

3) N'Golo Kante
Reasons:
Ankle/Foot Injury Aug 28: "He missed the Arsenal game because of some pain in the ankle and some inflammation. I think the opponent fell on his ankle and he twisted it again and he had immediately the same pain he had before."
Returning date: 11/09/2021
Status: Currently Being Assessed 50%

4) Romelu Lukaku
Reasons:
Thigh Injury Sept 05: "I'll have a scan of my thigh [before returning to London]. I am struggling with a minor issue for a while. And then I will return to Chelsea."
Returning date: 11/09/2021
Status: Currently Being Assessed 50%

5) Christian Pulisic
Reasons:
Ankle/Foot Injury Sept 09: "Christian has a slight ankle injury. We're going to get more info on it when he goes back to London, the severity of it."
Returning date: No Return Date
Status: Currently Being Assessed 50%
 
Predicted line up vs Aston Villa

Formation 3-4-2-1

Werner ---------- Havertz ----------------- Mount

Chilwell ---------- Jorginho ----------- Niguez ------ Azpilicueta

Rudiger ----------- Christansen ------------ Chalobah

Mendy
 
Timo Werner katika mechi sita na timu ya Taifa, kafunga goli 3 na assists 1
Hii ni dalili nzuri kwake kuwa msimu huu na Chelsea hautakuwa kama msimu uliopita.
 
Tunamuhitaji lukaku hata kwa kipindi kimoja kwenye mechi ya villa msimu uliopita tumekosa magoli mengi sana na tukapoteza mechi kama tutaanza bila lukaku naona yaleyale yakijirudia kwa sababu midfield wetu wanakosa sana clear chances
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom