Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea wasimuuze au kumtoa tena kwenye mkopo huyu Conor Galagher,
uchezaji wake ni kama wa Mount,
  1. anajituma,
  2. anajua kujiposition,
  3. ni mzuri kwenye set pieace na
  4. ni mzuri kwenye kufunga na kuassist.
  5. Huyu ni kiungo mfungaji
Yaani sasa ndie tegemeo la Crystal Palace pale kwenye kiungo
 
Odsonne Edouard mchezaji aliyesajili kwa pesa nyingi kwa historia ya Crystal Palace kaingi tu ndani ya sekunde yua 28 na kwa touch yake ya kwanza kwenye debut yake ya kwanza kwa Crystal Palace na EPL anafunga goli

Crystal Palace 2 Spurs 0
 
Chelsea walivyo wapuuzi watamtoa tena kwa mkopo.
Chelsea wasimuuze au kumtoa tena kwenye mkopo huyu Conor Galagher,
uchezaji wake ni kama wa Mount,
  1. anajituma,
  2. anajua kujiposition,
  3. ni mzuri kwenye set pieace na
  4. ni mzuri kwenye kufunga na kuassist.
  5. Huyu ni kiungo mfungaji
Yaani sasa ndie tegemeo la Crystal Palace pale kwenye kiungo
 
Chelsea wasimuuze au kumtoa tena kwenye mkopo huyu Conor Galagher,
uchezaji wake ni kama wa Mount,
  1. anajituma,
  2. anajua kujiposition,
  3. ni mzuri kwenye set pieace na
  4. ni mzuri kwenye kufunga na kuassist.
  5. Huyu ni kiungo mfungaji
Yaani sasa ndie tegemeo la Crystal Palace pale kwenye kiungo
Atolewe tu kwa mkopo... Kwa maana sasa hv ni ngumu sana kupata namba...
Ili endelee kuongeza kiwango
 
Team news is in! [emoji109]

11 yetu leo
20210911_183237.jpg
 
Usajili wa saul ulikuwa wa kukurupuka...

Kama atletic ilimuona hafai.. Cjui kwann chelsea ilimchukua..

Kwanza anaogopa kuomba mpira... Wala sio accurate..

Uchezaji wa saul leo ni kama wa bakayoko
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom