Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Usajili wa saul ulikuwa wa kukurupuka...

Kama atletic ilimuona hafai.. Cjui kwann chelsea ilimchukua..

Kwanza anaogopa kuomba mpira... Wala sio accurate..

Uchezaji wa saul leo ni kama wa bakayoko
One played match, one negative judgement.

This is Tanzania where there's every kind of professionals.
 
Odoi hana pumzi ya kukaba na kwenda shambulia.. Vile cile odoi anacheza kama winger sio beki ya kupanda na kushuka..

Odoi sio creative kbsa...
Nasoma comments Chelsea page insta napata picha inawezekana Saul, Odoi wamevurunda sana.

Joginho na azipi waingie.

Naendelea kufuatilia mechi live score.
 
Kocha amtoe Saul, anatakiwa awe anaingia sub dakiak chache hadi azoe EPL, ameachia mipira mingi ya hatari takribani minne na zote kama sio umaridai wa Mendy na Silva tungekuwa nyuma 3-1
 
Usajili wa Lukaku tumepigwa, wako wapi wale anti Lukaku
One touch Goal
1631385863760.png
 
Wanaomsifiaga Ziyech hapa, sijui wanatumia vigezo gani kabisa.
Ziyech nii mzuri ila tangu pre season namuaona ana pressure sana ya kufunga badala ya kucheza mpira na hiyo pressure ndio inamuharibia. Kinachmfanya Werner acheza vizuri hiyo presure ameiondoa na kubakia kutengeneza nafasi na kuassists.
Kitu cha pili namuona Ziyech ni mchezaji wa Big Matches, hizi ndogo anasumbuka sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom