Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Introducing our 21/22 @NikeFootball Third Kit!

Inspired by iconic outdoor brand Nike ACG, with signature bold prints and vibrant colours, ready to take centre stage under the European lights.

#ItsAChelseaThing #CFC
20210826_101037.jpg
 
Introducing our 21/22 @NikeFootball Third Kit!

Inspired by iconic outdoor brand Nike ACG, with signature bold prints and vibrant colours, ready to take centre stage under the European lights.

#ItsAChelseaThing #CFC
20210826_101042.jpg
 
Ronaldo anaondoka Juve kwa sababu ya mzigo wa mshahara au?
Kwa sasa wachezaji wanaangalia project ya timu ,ronaldo anataka mataji na kushinda ballond'or ,sasa kwa juventus inakuwa kipengele...

Arsenal ni timu kubwa ,ila kwa sasa hainaproject nzur ,ndio maana hata kumpata mchezaji kama Maddison wa lecisister city hawawez..

Ronaldo kwa sasa anaona timu yenye project ni city ,kwa sasa ronaldo anaitaman sana city ,japo pep hajaonesha interest nae ...

Kiufupi ronaldo anakimbia juventus kwa sababu ya CL ,haoni ikifika popote kwenye CL ,....
 
Bid ya kumnunua Kounde kwa Paundi mil 42 imewasilishwa Sevilla na nasikia wameafiki hiyo bei. Tusubiri tuone
Aisee kama Chelsea wakifanikisha hili dili basi mama marina n noma kwenye negotiation ...atakuwa kanunuliwa Kwa euro mil 42 ambayo ni Sawa na paundi mil 50... Euro mil 42 pungufu kwa euro mil 50 z Ben mweupe WA arsenane
 
Introducing our 21/22 @NikeFootball Third Kit!

Inspired by iconic outdoor brand Nike ACG, with signature bold prints and vibrant colours, ready to take centre stage under the European lights.

#ItsAChelseaThing #CFC View attachment 1908954
Jezi za siku hizi unaeza dhani siyo jezi. Wanazidisha manjonjo wanaondoa uhalisia wa jezi aise.

CFC
 
Kwa nini Chelsea waliachana na Dili la Lukaku 2017 na baadaye la Haaland msimu huu halafu tena wakarudi kwa Lukaku msimu huu?

Tatizo ni Raiola anayechaji dau kubwa kwenye mshahara wa mchezaji, na ada ya uajenti na pia kigeugeu, mfano Lukaku 2017 alikuwa aje Chelsea na mazungumzo yalifanyika ila dakika ya mwisho jamaa akageukia Manure
Lukaku aliamua kuvunja mkataba na huyo Raiola mwaka mmoja baadaye na ndio maana Chelsea wamepata urahisi wa kumsajili Lukaku msimu huu.

Mfano mwaka huu Raiola alikuwa nataka timu inayomsajili Haaland implipe paundi 820,000 kila wiki na ndio sababu kuu Chelsea wakasepa
  1. Mshara wa paundi 820,000
  2. Agent fee ya paundi mil 34
  3. Ada ya baba yake ya Paundi mil 15
 
Introducing our 21/22 @NikeFootball Third Kit!

Inspired by iconic outdoor brand Nike ACG, with signature bold prints and vibrant colours, ready to take centre stage under the European lights.

#ItsAChelseaThing #CFC View attachment 1908954
Katika jezi zote za chelseafc zilizowahi kutengenezwa hii ni Kali kuliko zote kwa Mara ya kwanza zikija bongo nitavaa jezi ya Chelsea
 
Ila rotation haitakiwa ifanywe kikasuku, kuna wachezaji wakijua ni lazima watacheza kwa staili hiyo hawatafight, mchezaji anayefight position apendelewe zaidi hata kama kuna rotation. Rotation isiwe gift, yaani kila mchezaji lazima acheze. Hii sio pre-season.
Mfano nisingependa Lukaku afanyiwe rotation hata Mendy
Nisingependa pia Rudiger afanyiwe rotation kwa sababu ana consistency nzuri na sio injury prone
Ningependa hawa wafanyiwe rotation
  1. Werner
  2. Havertz
  3. Pulisic
  4. Mount
  5. Ziyech
  6. Kovacic
  7. Kante - hasa kwa sababu ni injury prone ila kwenye mechi kubwa apangwe wa kuanza
  8. Reece
  9. Alonso na Chilwell ila Alonso naona anafight kweli kweli hadi nawiwa kumpendelea acheze mechi kubwa zaidi
  10. Chritasnen
  11. Chalobah - Hasa kwa sababu bado anayo mengi ya kujifunza, na katika umri wake ni rahisi kukosa consistency
  12. Azpilicueta kwa sababu ya uzee
  13. Silva kwa sababu ya umri
  14. Odoi baadhi ya mechi hasa ndogo aanze
Wachezaji hawa kama n i rotation iwe nadra sana tena kwenye mechi ndogo au za makombe madogo kama FA na Karabao hatua za mwanzoni
  1. Mendy
  2. Lukaku
  3. Rudiger

Mkuu umeeleweka vizuri na mimi namanisha ivo ivo. Tuna timu nzuri na wachezaji wetu wote ni wazuri. Pia tumuachie kocha atajua jinsi atakavyo watumia
 
Kurt Zouma anatarajia kufanya vipimo vya afya yake kwa ajili ya kuhamia Westham United kwa dau la Paundi mil 25 na huku Chelsea wanamalizia mapatano na Sevilla ya kumsajili Beki Jules Kounde kwa Euro mil 50
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom