Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 44,153
- 104,733
Naona Newcastle tunacheza nae mara moja tuu March
Naona Newcastle tunacheza nae mara moja tuu March
Bora umewaambia weekend watakimbia hili jukwaa lao.Nyinyi maboya mnajua weekend tunawapakia vumbi la kongo. Tutawapelekea moto sanaa. Nyinyi ni mitete na sisi ni majogo.
Timu halina hata uwanja afuu mnajiita club kubwa, mende kabisa.Matakataka FC.
Ndugu zako arsenal walipiga kelele hivi hivi. Ila saiv wameshona midomo wametulia.Nyinyi maboya mnajua weekend tunawapakia vumbi la kongo. Tutawapelekea moto sanaa. Nyinyi ni mitete na sisi ni majogo.
Timu halina hata uwanja afuu mnajiita club kubwa, mende kabisa.Matakataka FC.
Nyinyi maboya mnajua weekend tunawapakia vumbi la kongo. Tutawapelekea moto sanaa. Nyinyi ni mitete na sisi ni majogo.
Timu halina hata uwanja afuu mnajiita club kubwa, mende kabisa.Matakataka FC.



nimekucheka kimbelembele.. Naona upo kwenye jukwaa langu unanchungulia Zidixha manjonjo uwanjan mchumba.. sio unalalamika nakusalitiKuna mwanangu mmoja n shabiki wa blues anaitwa mbwiga ndo ww nn?nimekucheka kimbelembele.. Naona upo kwenye jukwaa langu unanchungulia Zidixha manjonjo uwanjan mchumba.. sio unalalamika nakusaliti
We ni wangu kuanzia sasaNB:UNAONGEA NA BINGWA WA UEFA NAONGEA NA NAN? #Liva Puli tu ww ......wana mpeni sabuni akaji***
N mwenyej w wap?Kuna mwanangu mmoja n shabiki wa blues anaitwa mbwiga ndo ww nn?
Xauw xauw means combination ya jorginho na kante n the best zaid na inaoffer vitu vingi sio?Maurizio Sarri has revealed that he needs N'Golo Kante to stay close to Jorginho when defending as the Chelsea star is 'not very good in open spaces.'
Yy n WA DSMN mwenyej w wap?
Inaonekana jorg na Kova watakuwa wanacheza game z kawaida Afu kazikazi jorg na kante.....sasa na km akija Saul ndo balaa...maana Saul nahis kawazidi hao ktk ushambuliaji Afu anaachia makombora Sana jambo ambalo kina jorg n Kova hawawezi sanaMaurizio Sarri has revealed that he needs N'Golo Kante to stay close to Jorginho when defending as the Chelsea star is 'not very good in open spaces.'
Hawa hawatuliagi, si unamuona yule asiyekuwa na jukwaa tulimbomoa mara tatu kila akija na visingizio vingiNdugu zako arsenal walipiga kelele hivi hivi. Ila saiv wameshona midomo wametulia.
Hapan faza.. me NjombeYy n WA DSM
Ok haina noma chiefHapan faza.. me Njombe
Sijui kwanini watu mnashindwa kuwa na adabu na bingwa wa bara zima la Ulaya, hata hivyo liva.....puli mtapigwa na kitu kizito kichwaniNyinyi maboya mnajua weekend tunawapakia vumbi la kongo. Tutawapelekea moto sanaa. Nyinyi ni mitete na sisi ni majogo.
Timu halina hata uwanja afuu mnajiita club kubwa, mende kabisa.Matakataka FC.



Chief huyo Mbona anapata # na game 2. Zilizopita za ligi kacheza huku moja akitoa assist....shida inaonekana hapendezwi na majukumu anayopewa na Diego Simone...inaonekana anachezeshwa sehemu sio maybe maana hata game iliyopita alicheza winger...na km mnavyomjua mifumo ya Diego kuna game moja mpk partey alichezeshwa no.2! ...all in all mi naona ni addition nzuri coz nafasi zake kihalisi ni DM na CM so mtu Kariba kama yake mwenye experience ya kutosha atatusaidia endapo tukimkosa kante ambaye amekuwa km injury prone...au jorgi/ Kova kama tukiwakosa Kwa majeruhi au Kadi nyingi z njano...na NI nzuri Kwa rotation ....nionavyo


