Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hii posti nai hifadhi.
Kwani me ni mmoja wapo kati ya wanaompinga, japo hayanihusu.

Makaku afunge goli 8 kwenye game 10? Naacha kuchimba narudi kukaakijiweni kungoja ajira ya serkali.
Ulitaka kutuambia kazi yako ya uchimbaji pambana mkuuu
 
Naungana na ww jmaaa hao wanao mponda LUKAKU NDIO HAO HAO WATAMKUBALI
Ila inabidi tuwe na mashine nyingine balaa yaani lukaku apatiwe mwenzie anaetupia sio chini ya 20 za uhakika kwa msimu mbona wataimba poo hapo EPL
 
Lukaku
20210809_210432.jpg
 
Kuna waandishi uchwara wa hapa nyumbani waliaminisha watu kuwa mchana wa leo Messi angeelekea PSG kukamilisha uhamisho wake. Kitu ambacho si kweli, Messi na baba yake bado wanapitia na kutafakali mkataba walio pewa na PSG.

Kwa maana hiyo timu yoyote bado ina nafasi ya kumpata Messi. Messi mwenyewe jana amethibitisha hakuna lolote linalo endelea yeye na psg ni tetesi tu.
Barca wanatumia issue ya messi ku attract funding
 
Naona Abraham akibaki kusaidiana nae maana Broja anaelekea Southampton kwa mkopo.
Ila inabidi tuwe na mashine nyingine balaa yaani lukaku apatiwe mwenzie anaetupia sio chini ya 20 za uhakika kwa msimu mbona wataimba poo hapo EPL
 
Mda huu Lukaku yuko hewani kwenye mwewe kuelekea London kukamilisha uhamisho wake.
 
BREAKING! Chelsea kumpata
Messi mkataba wa miaka mitatu na atavuta Paundi Million 40 kwa mwaka.
 
Sky in Italy reporting: Roma have agree fee with Chelsea for Tammy Abraham. Player now has to decide what he wants to do. Arsenal and Atalanta also interested. Chelsea prefer to sell to foreign club for € 40m
@DiMarzio

@skysport
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom