Papaa Gx
JF-Expert Member
- Oct 10, 2016
- 11,531
- 18,727
Acha kumlinganisha Toney na hilo kubwa jinga
Huyo Ivan Toney unaweza kumkataa kama unavyomkataa Tammy hivi sasa
Huyo Ivan Toney unaweza kumkataa kama unavyomkataa Tammy hivi sasa
[emoji23] huyo Ivan hata simfahamu, angekuwa moto kama Haaland nadhani vilabu vingekuwa vinasukumana kupata sign yake
Jamaa anamkubali Ivan Toney Sana ..nilikuwa hata simfahamu ndo nimejulia kwake[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
SWALI:- kocha CONTE alimuhitaji LUKAKU, Bodi ikamletea MORATA.
Kwanini bodi wakati ule ilidharau ushauri wa CONTE na sasa hivi wamerudi kule kule kwenye ushauri wa CONTE? View attachment 1880916
Ivan kwa umri wa miaka 25 bado hajavutia vilabu vikubwa uwezo wake utakuwa wa kawaida kuzifunga timu za madaraja ya chiniView attachment 1880854View attachment 1880855View attachment 1880856
Yuko Brentford[emoji23] huyo Ivan hata simfahamu, angekuwa moto kama Haaland nadhani vilabu vingekuwa vinasukumana kupata sign yake
Leo tammy anapata interest kutoka premier league clubs na atalant wakat huyo toney sidhan hata kuna tim inamuhitajAcha kumlinganisha Toney na hilo kubwa jinga
Leta stats za tammy wakat yuko championship
Leo tammy anapata interest kutoka premier league clubs na atalant wakat huyo toney sidhan hata kuna tim inamuhitaj
Kwangu ni bora niwe na tammy kuliko huyo toney,
Leta stats za tammy wakat yuko championship
Wastani mzuri kabisa amecheza mechi 37 magoal 25Takataka Abraham View attachment 1880991
Hilo sijui. Ila Levy kuwauzia mchezaji Chelsea siyo kitu rahisi kama unavyodhani.Hivi kati ya Spurs na Asenane yupi ni mpinzani hasa wa Chelsea?
Hawa wajinga watapigwa ban wananunua wachezaj kwa bei ya juu alafu wao hawauziMan city wameshampata Grealish, Mungu saidia wasimpate Kane maana wakimpata watafanya mauaji ya kimbari msimu ujao
This is our city ,money talk ,..Hawa wajinga watapigwa ban wananunua wachezaj kwa bei ya juu alafu wao hawauzi
Usajili wa Kane ndio ungekua tishio, huyo Grealish wa kawaida tu. Anaweza akawa flop w msimu.Man city wameshampata Grealish, Mungu saidia wasimpate Kane maana wakimpata watafanya mauaji ya kimbari msimu ujao
Basi una matatizo, shabiki yeyote asiyejua ubora wa Kane mimi namuona ana matatizo, Hata Haaland anaweza kuwa flop bado mdogo sana hatujui kama atakuwa na consistency kama ya KaneHivi ni mm tu ama kuna wengine? Yaani sijawahi vutiwa na Kane huwa naona ni mbabaishaji tu, straika ni Halaand, Lewandowski ama Toney.
Huyo kacheza ligi ndogo tuSasa kama humfaham utajua vipi moto wake, ni vile tu alikuwa anachezea championship ndio maana hafatiliwi. Sasa subiri balaa lake ligi kuu
Kane lazima wamsajili, sioni Kane akibaki tote, ameshachafua hali ya hewa. Tote watamuuza.