Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mwaka 1905 Klabu ya Soka ya Chelsea ya Uingereza ilimsajili Kipa William Foulke. William Alikuwa na Urefu wa Mita 1.93 na Uzito wa Kilo 152. Alikuwa Mnene Sana Hivi Kwamba Chelsea Iliajiri Wavulana Wawili Nyuma ya Lango Ili Wampatie Mpira Ulipokwenda Mbali, Ndipo Ajira ya Waokota Mipira Ilipozaliwa.
20210613_021025.jpg
 
Anceloti eti anamtaka Timo Werner
Si angemchukua kijana wake aliyemuacha Everton (James Rodriguez)??
 
Hata mimi ningependa Ziyech abaki na akija Hakimi wangeelewana kweli kwa sababu ni Mmoroko mwenzake
Tatizo ni haendani na TT, nadhani kwenye kufuata maelekezo yake. TT ni kocha demanding kama PEP, usipofuata maelekezo yake anakutoa nje ya plan
Sasa Taarifa za ndani ya Chelsea zinadai kuwa kwa kuwa management imeridhilka na performance ya TT Zuiyech asiyefit kwenye plan zake ndie wa kuondolewa
Huwa kawaida mchezaji na Kocha wakitofautiana lazima mmoja atoke. Huwa kawaida Chelsea huwafukuza makocha wanaokosana na wachezaji na kusababisha poor performance
Safari hii ni mchezaji asiyepata na kocha ndie anatolewa kafara

Ziyech hayuko peke yake
  1. Giroud - ha fit kwenye mfumo
  2. Hakim Ziyech - hapatani na kocha
  3. Tammy Abraham - ha fit kwenye mfumo
  4. Marcos Alonso - anatakiwa sana Laliga na Serie A kwa hiyo atauzwa kwa sababu ya kuraise funds
  5. Emerson Palmieri - ha fit kwenye mfumo
  6. Ross Barkley - ha fit kwenye mfumo
  7. Michy Batshuayi - ha fit kwenye mfumo
  8. Andreas Christensen - kwa sababu ya swap deal ya Hakimi na - anabei nzuri kwenye ligi kubwa barani Ulaya kwa hiyo atauzwa kwa sababu ya kuraise funds
  9. Ruben Loftus-Cheek - ha fit kwenye mfumo

Thamani ya hao wachezaji

  1. Olivier Giroud - Free​

  2. Hakim Ziyech - $40 million

  3. Tammy Abraham $40 million

  4. Marcos Alonso $15 million

  5. Emerson Palmieri $15 million

  6. Ross Barkley $25 million

  7. Michy Batshuayi - $15 million

  8. Andreas Christensen - $40 million

  9. Ruben Loftus-Cheek $25million


Mkuu hapo kwa Christiansen bora auzwe Zouma aisee.
 
Yah! You're right, kwenda Sokoni kufanya usajili na sio kupigwa kwani kupigwa pia kunaifanya Timu ionekane immature.

Moratta
Bakayoko
Kepa
Kai

Mkuu unasikitisha sana.

Hawa wote wamerudisha pesa zao hata kama tulifanya usajili wa gharama. Lakini wameleta kombe.

Morata na Bakayoko wameleta FA. Ni kombe lenye hadhi uingereza na pesa zake ni ndefu kuliko hata ya Ligi

Kepa ameleta Uropa league hatuna madai nae

Kai nafikiri umeona contribution yake kwenye ligi ya mabigwa na hatimaye kaleta UEFA Champion legue


Ebu twambie usajili wenu wa kina Alcantara, Jota wameleta nini kama si hasara tu
 
Hapa ndiyo akili za hawa Watoto wanaomwagilia Bustani Shuleni zilipoishia! Najaribu kupitia mabango yenu eti "KAI AMEFUNGA FAINALI AMESHALIPA". Labda amewalipa nyinyi JF.
Munaongea hayo as If Timu nzima iliyocheza Fainali wachezaji wote waliobakia hakuna aliyenunuliwa wala anayelipwa Mshahara, wote wamekuja bure na wanacheza bure bila ya malipo isipokuwa Kai, hivyo thamani muliyoikokotoa ni ya Kai tu.

Yaani hata uchukue Fedha yote muliyopewa kwa kubeba Kombe basi haiwezi fikia Bei aliyonunuliwa Kati + Mishahara + Posho.

Endeleeni kujidanganya kwa mihemko eti kafunga goli amesharudisha wakati hata Divok Origi alifunga goli Fainali na sasahivi anatafutiwa Timu auzwe.
Wewe kama hujaangalia match za chelsea hapa mwishoni utaendelea kusema Kai tumepigwa. Na endelea kuamini hivyo.
 
Ahaa! Hiyo ndiyo point uliyopaswa kuizungumza tokea awali na sio kuhusisha na Timu kubwa kwani PSG alijaribu kuteka Soko la usaji na mpaka leo haijawa Timu kubwa kwasababu tu alikuwa na uwezo wa kuingia Sokoni na akamnunua Mchezaji yoyote na ndiyo Timu pekee iliyoweza kumzuia Madrid na Barcelona kuchukua Mchezaji wake yoyote lakini wao walikuwa na uwezo wa kumchukua Mchezaji yoyote wa Timu hizo wanapomtaka.

Ukubwa haupatikani kwa Usajili isipokuwa ni Legacy! Prove me wrong.

In terms of money Mchezaji atakuja Chelsea
In terms of Legacy Mchezaji atakuja Liverpool! Thats why munaendesha mijadala na Arsenal and Man City kwasababu huwezi kukumkuta Man United au Liverpool anashinda Legacy na Chelsea.
Usifananishe PSG na Chelsea, hayo ni matusi. Labda ufananishe na Liverpool au Arsenal
 
Ahaa! Hiyo ndiyo point uliyopaswa kuizungumza tokea awali na sio kuhusisha na Timu kubwa kwani PSG alijaribu kuteka Soko la usaji na mpaka leo haijawa Timu kubwa kwasababu tu alikuwa na uwezo wa kuingia Sokoni na akamnunua Mchezaji yoyote na ndiyo Timu pekee iliyoweza kumzuia Madrid na Barcelona kuchukua Mchezaji wake yoyote lakini wao walikuwa na uwezo wa kumchukua Mchezaji yoyote wa Timu hizo wanapomtaka.

Ukubwa haupatikani kwa Usajili isipokuwa ni Legacy! Prove me wrong.

In terms of money Mchezaji atakuja Chelsea
In terms of Legacy Mchezaji atakuja Liverpool! Thats why munaendesha mijadala na Arsenal and Man City kwasababu huwezi kukumkuta Man United au Liverpool anashinda Legacy na Chelsea.
Legacy ya Liverpool ya mwaka 47 kabla hata EPl haijabadilishwa mfumo
 
Hapa ndiyo akili za hawa Watoto wanaomwagilia Bustani Shuleni zilipoishia! Najaribu kupitia mabango yenu eti "KAI AMEFUNGA FAINALI AMESHALIPA". Labda amewalipa nyinyi JF.
Munaongea hayo as If Timu nzima iliyocheza Fainali wachezaji wote waliobakia hakuna aliyenunuliwa wala anayelipwa Mshahara, wote wamekuja bure na wanacheza bure bila ya malipo isipokuwa Kai, hivyo thamani muliyoikokotoa ni ya Kai tu.

Yaani hata uchukue Fedha yote muliyopewa kwa kubeba Kombe basi haiwezi fikia Bei aliyonunuliwa Kati + Mishahara + Posho.

Endeleeni kujidanganya kwa mihemko eti kafunga goli amesharudisha wakati hata Divok Origi alifunga goli Fainali na sasahivi anatafutiwa Timu auzwe.
Unajua uchawi sio lazima kuroga, sasa labda kwa upande wako unafikiri wachezaji wananunuliwa ili iweje? Ukiwanunua wachezaji mkabeba makombe bado utasema umekula hasara?
 
Chelsea tunaangaika kutafuta beki wa kati hivi inamaana James Tarkowski hatumuoni kabisa.? Hivi huyo beki mmewahi mfuatilia ata kidogo mkaona vile yuko vizuri? Ama ni vile anacheza Burnley tunashindwa muamini? Tarkowski ni beki mzuri sana na atatufaa sana sijajua kwann klabu kubwa hazimuoni
 
Unajua uchawi sio lazima kuroga, sasa labda kwa upande wako unafikiri wachezaji wananunuliwa ili iweje? Ukiwanunua wachezaji mkabeba makombe bado utasema umekula hasara?
Fan wa Liver wao wako after show game na ndio maaana mchezaji kama Havertz aliyefunga tena kwa ubunifu the only goal iliyotupa kombe kubwa kama lile wao wanamuona ni loss
Timu kama Man City wanawaona kama ndio walicheza vizuri kisa tu walikaa na mpira sana
Ndio maana walikaa tones of years without major trophies na bado watakaa tena the next 10th, 20th to 30th yrs bila kombe la maana
 
Achraf Hakimi asema anapenda kwenda PSG
Nilijua tu angefikia hivyo kwa sababu hatakuwa secure kwa kocha aliyeshindwa kuendana na Mmoroko mwenzake Ziyech Hakim
 
PSG msimu ujao itakuwa ya moto sana. Suala la kocha mi sioni kama no tatizo, huyo Ziyech alifeli toka enzi za Lampard. Mi nadhani ni ameshuka kiwango yeye mwenyewe.
Achraf Hakimi asema anapenda kwenda PSG
Nilijua tu angefikia hivyo kwa sababu hatakuwa secure kwa kocha aliyeshindwa kuendana na Mmoroko mwenzake Ziyech Hakim
 
PSG msimu ujao itakuwa ya moto sana. Suala la kocha mi sioni kama no tatizo, huyo Ziyech alifeli toka enzi za Lampard. Mi nadhani ni ameshuka kiwango yeye mwenyewe.
Ziyech alianza vizuri chini ya Lampard..

Kama unakumbuka alipoga krosi flani matata sana chilwell akapiga goli..

Kilichomshusha kidogo ni majeruhi aliyopata, pia kariba ya washambuliaji wetu. Jamaa hua anawapa pasi za upendo sana, umaliziaji ndo shida..

Kwa TT pia hajafeli kama tunavyoaminishwa,, angalia gemu alizocheza kwa TT kaperform vizuri kabisa.

Itakua chelsea hawamtaki kwa sasa kwasababu ya wingi wa viungo na mawinga..

Competition imekua kubwa sana sehemu izo mbili
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom