Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mbele hakuna mtu wa kumtegemea kufunga,
Kama hujasahau tuna
  1. Werner - Papara nyingi golini - mechi 35 za ligi goli 6
  2. Mount - Ni kiungo zaidi ya mfungaji - mechi 36 za ligi goli 6
  3. Havertz - Form yake Up and downs- mechi 27 za ligi goli 4
  4. Pulisic - Form yake bado- mechi 27 za ligi goli 4
  5. Odoi - Bado hayuko clinical- mechi 23 za ligi goli 2
  6. Ziyech - form yake bado hairidhishi- mechi 23 za ligi goli 2
  7. Giroud - akiamka vizuri anafunga ila siku akiamua kup[otea uwanjani hata hutamuona- mechi 17 za ligi goli 4
  8. Tammy Abraham - mfungaji wa timu ndogo- mechi 22 za ligi goli 6
Katika hao nane unadhani ni nani hao watakaotupa magoli ya kubeba kombe?

Man city hawa hapa
  1. Ilkay GündoganGündogan 17
  2. Phil FodenFoden 16
  3. Raheem SterlingSterling 14
  4. Riyad MahrezMahrez 14
  5. Gabriel JesusGabriel Jesus 14
  6. Ferran TorresTorres 13
  7. Kevin De BruyneDe Bruyne 10
Hivi unajua Lionel Messi alifunga goli 50 Mwaka 2012( kwenye ligi) , Lakini goli la Torres ambaye hakuwa na hata goli 10 kwenye ligi lilitosha kuihakikishia chelsea ushindi.


Hizi takwimu zisikutishe, mpira unadunda
 
Na tatizo ndio iko hapo kwenye kutengeneza chances nyingi tena nzuri halafu hatuna wafungaji
Mpira wa kisayansi unaangalia takwimu nje ya hapo ni kubahatisha
Sasa kama unaangalia takwimu iweje useme tulibahatisha. Takwimu hizi hapa ile game ya EPL vs City
20210528_201813.jpg
 
Kushinda tunaweza shinda ila kubahatisha, hata zile mechi mbili wewe unajua moyoni mwako kuwa tulibahatisha na tatizo letu kubwa ni kule mbele tu, tukimpata kane au level ya Kane Chelsea ni bonge la timu
Anapaswa aletwe striker wa nguvu ili awa-challenge madogo!
 
Wana BLUES wenzangu tujiandae kisaikolojia kupokea kipigo Jumamosi, sioni uwezo wa washambuliaji wetu kufunga magoli.

Labda tuje na mbinu ya kuipelekea match kwenye mikwaju ya penati, na wapigaji wa penati hatuna, Mendy mbovu kwenye kudaka penati.

Tujiandae kumeza kidonge kichungu

Tuombe Mungu bahati iwe upande wetu.
Watu kama nyinyi ingekuwa ni jeshini unapigwa risasi, mwanajeshi gani unaenda vitani huku unaogopa kufa?

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Wana BLUES wenzangu tujiandae kisaikolojia kupokea kipigo Jumamosi, sioni uwezo wa washambuliaji wetu kufunga magoli.

Labda tuje na mbinu ya kuipelekea match kwenye mikwaju ya penati, na wapigaji wa penati hatuna, Mendy mbovu kwenye kudaka penati.

Tujiandae kumeza kidonge kichungu

Tuombe Mungu bahati iwe upande wetu.
Hahaaa

Mpaka hapa

Man city 1-0 Chelsea

Tushawafunga hata uwanjan hatujaingia
 
Yaan kesho mkipona aisee...

Chelsea kutufunga kesho itakuwa maajabu ...

Yaan kesho ngoma tunaimaliza 1HT
 
Hivi unajua Lionel Messi alifunga goli 50 Mwaka 2012( kwenye ligi) , Lakini goli la Torres ambaye hakuwa na hata goli 10 kwenye ligi lilitosha kuihakikishia chelsea ushindi.


Hizi takwimu zisikutishe, mpira unadunda
Ni kweli but elewa pia bahati ilikuwa upande wetu! Imagine mechi mbili in a row, semi and final stages wapinzani wa Chelsea walikosa penati 4. Si jambo la kawaida. Halafu penati 2 kati ya hizo zilisababishwa na mtu mmoja ambaye pia ndiye magoli yake yalisababisha ubingwa kwa Chelsea, Didier Drogba (The beast!)
Mechi ya kesho, ushindi kwa Chelsea utapatikana kwa bahati ikiwa madogo wataendekeza ujinga wa kukosa magoli ya wazi na pia kuotea mara kwa mara.
 
Mbele hakuna mtu wa kumtegemea kufunga,
Kama hujasahau tuna
  1. Werner - Papara nyingi golini - mechi 35 za ligi goli 6
  2. Mount - Ni kiungo zaidi ya mfungaji - mechi 36 za ligi goli 6
  3. Havertz - Form yake Up and downs- mechi 27 za ligi goli 4
  4. Pulisic - Form yake bado- mechi 27 za ligi goli 4
  5. Odoi - Bado hayuko clinical- mechi 23 za ligi goli 2
  6. Ziyech - form yake bado hairidhishi- mechi 23 za ligi goli 2
  7. Giroud - akiamka vizuri anafunga ila siku akiamua kup[otea uwanjani hata hutamuona- mechi 17 za ligi goli 4
  8. Tammy Abraham - mfungaji wa timu ndogo- mechi 22 za ligi goli 6
Katika hao nane unadhani ni nani hao watakaotupa magoli ya kubeba kombe?

Man city hawa hapa
  1. Ilkay GündoganGündogan 17
  2. Phil FodenFoden 16
  3. Raheem SterlingSterling 14
  4. Riyad MahrezMahrez 14
  5. Gabriel JesusGabriel Jesus 14
  6. Ferran TorresTorres 13
  7. Kevin De BruyneDe Bruyne 10
Ingekuwa defense na kipa wetu ni tia maji ningekubaliana na hiki ulichoandika hapa.
 
Kushinda tunaweza shinda ila kubahatisha, hata zile mechi mbili wewe unajua moyoni mwako kuwa tulibahatisha na tatizo letu kubwa ni kule mbele tu, tukimpata kane au level ya Kane Chelsea ni bonge la timu
Match ya kwanza ambayo hata kina Debruyne walicheza wala hata hatukubahatisha. Match ya pili labda ndio walitukosakosa.
 
Wenzio nyumbu hawajaamini mbele ya viralleal we nenda na matokeo yako Tu
Kudadeki kesho tunapress mpaka mtajuta kuingia uwanjan ...


Yaan mtajuta kwanini mlipanda ndege kuja Porto ...

Tunaenda kuwapelekea moto mzitoo...

Man city 3-1 chelsea


Come on city
 
Kesho tunapigwa goli swaafi kabisa, hatuna uwezo wa kumpiga city(labda bahati iwe upande wetu)
 
Chelsea hakuna timu pale ...

Villa kajipigia ,..

Kesho tunawasokomeza goli 6,mtajuta kuingia uwanjan
Tumestruggle Kwa timu za kupaki basi maana kule mbele kufunga Kwa forward zetu ni kipengele....Ila Nyie mnafunguka na kupossess mpira ...mara cjui mna high press mtalia yaan mkifanya hvyo nakuambia mtalia mapema unless mpaki basi kama kina Aston villa...maana ni mipira ya mbele Kwa timo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom