Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

UEFA yawapiga ban Real Madrid, Barcelona and Juventus kushiriki mashindano ya UEFA kwa miaka miwili
Huuu ugomvi hauwezi malizwa kizembe hivyo wakipigwa bana wanaenda kushtaki hizi timu nyingine kubwa kwanini zilivunja mkataba na kujitoa kwenye superleague unadha soo litaishaje hii ngoma ngumu sana
 
Wako pembeni wanasubiri aboronge yaanze maneno.
Ana maisha marefu kweli?


IMG_20210526_143111.jpg
 
Muda wenu wa kuendelea kukaa kwenye hili jukwaa lenu unaendelea kupungua .29 najua hatutowaona humu .
 
Sacked Lampard... Finished 4th

Employed Tuchel... Finished 4th

Went on a 15 games unbeaten streak... Finished 4th

Spent £200 Million... Finished 4th

Signed Future Balon D'or winner Harvertz... Finished 4th

Ziyech can cross from Stamford Bridge to Morocco... Finished 4th
 
Hv hakuna namna tuwe na makocha wawili, tumchukue Conte awe na TT
 
Wana BLUES wenzangu tujiandae kisaikolojia kupokea kipigo Jumamosi, sioni uwezo wa washambuliaji wetu kufunga magoli.

Labda tuje na mbinu ya kuipelekea match kwenye mikwaju ya penati, na wapigaji wa penati hatuna, Mendy mbovu kwenye kudaka penati.

Tujiandae kumeza kidonge kichungu.
Haswa! Nililisema hili siku tulipobutuliwa na Aston Villa game no. 38
Tukishinda jumamosi labda kwa ngekewa!
 
Wana BLUES wenzangu tujiandae kisaikolojia kupokea kipigo Jumamosi, sioni uwezo wa washambuliaji wetu kufunga magoli.

Labda tuje na mbinu ya kuipelekea match kwenye mikwaju ya penati, na wapigaji wa penati hatuna, Mendy mbovu kwenye kudaka penati.

Tujiandae kumeza kidonge kichungu

Tuombe Mungu bahati iwe upande wetu.
Tunashinda tena mapema
 
Timu yetu imefika salama nchini Ureno. Mapema leo ilifanya mazoezi ya mwisho katika uwanja wa Cobham.
 
Wana BLUES wenzangu tujiandae kisaikolojia kupokea kipigo Jumamosi, sioni uwezo wa washambuliaji wetu kufunga magoli.

Labda tuje na mbinu ya kuipelekea match kwenye mikwaju ya penati, na wapigaji wa penati hatuna, Mendy mbovu kwenye kudaka penati.

Tujiandae kumeza kidonge kichungu

Tuombe Mungu bahati iwe upande wetu.
Ongeza na kudorora kwa form ya team nzima kuanzia kipigo na Arsenal, Leicester city FA final na Aston Villa, timu itaingia kwenye fainali hii ikiwa haina confidence
Tukishinda ni bahati tu
 
Line kesho kwenye formation ya 3-4-3

Werner---Havertz-----Mount

Alonso ---- Kovacic --- Kante ----- James

Rudiger ---- Silva ------ Azpilicueta

Mendy

Sub
  1. Kepa
  2. Chilwell
  3. Christansen
  4. Jorgninho
  5. Odoi
  6. Pulisic
  7. Ziyech
  8. Tammy Abraham
  9. Giroud
 
Line kesho kwenye formation ya 3-4-3

Werner---Havertz-----Mount

Alonso ---- Kovacic --- Kante ----- James

Rudiger ---- Silva ------ Azpilicueta

Mendy

Sub
  1. Kepa
  2. Chilwell
  3. Christansen
  4. Jorgninho
  5. Odoi
  6. Pulisic
  7. Ziyech
  8. Tammy Abraham
  9. Giroud
Hi mechi tunaishida tu vizuri bila shida 2-1, wachezaji wote wako motivated na high morale ya kuchukua UEFA, usilinganishe na mechi ya Astoni Villa tulikua na option za kufuzu nyingi tu, katika hili kombe option ni moja kushinda tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom