Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Tuna Tammy na OG na hatuwatumii. Then tunatarajia somehow akija Kane au Haaland watatubeba? Huyu kocha naweza piga benchi akaanza Wener au Havertz. FL alikuwa na mahaba na Tammy, Mwingereza mwenzake. Naona TT kaja na mahaba kwa Wajerumani wenzake. Undugunaizesheni kwisha kazi kweli!
We need striker anayeweza kuchezesha wenzake. Full stop.
 
Tulimuuza Juan Matta kwa sababu kama hizi, alipokwenda ManU akawa tishio. Kwa sababu zako 4 inapaswa na Thiago naye apishe damu mpya. Kwenye mpira unaangalia uwezo wa mtu sio damu changa sijui mpya. Romario amestaafu akiwa na Umri gani? Patrick M'Boma? Madaraka Suleiman? Hawa wote walikuwa aged ila walikuwa wazuri kufunga. So walidumu. Kuwa na Backup kijana ni nzuri kwa future, ila ni ujinga kupoteza mechi, mna mfungaji eti kisa ni ana umri mkubwa!
Mfumo wa tuchel unataka striker anayeweza kuchezesha wenzake. Nioneshe katika strikers wa chelsea nani anaweza kuchezesha wenzake?
 
Mfumo wa tuchel unataka striker anayeweza kuchezesha wenzake. Nioneshe katika strikers wa chelsea nani anaweza kuchezesha wenzake?
OG anaweza sana hicho kitu tena ndio mtaalamu haswa, ndio mana timu ya taifa hafungi magoli lakini namba hakosi. Uwepo wake uwanjani unawarahisishia wenzake kufunga magoli. Labda uniambie speed na kupress. Mana high pressing wanayofanya timmo na Mount inahitaji pumzi.
 
Mfumo wa tuchel unataka striker anayeweza kuchezesha wenzake. Nioneshe katika strikers wa chelsea nani anaweza kuchezesha wenzake?
Kocha asiyeweza kutumia resources zilizopo ni kocha mbovu. Lazima uwe na uwezo wa ku adjust strategies zako ku fit reality on the ground
 
Naona wachezaji wamepewa mapumziko ya siku mbili yaani leo Jumatatu na Jumanne kisha Jumatano wataripoti tayari kwa kujiandaa na fainali ya UEFA. Jumatano mpaka Ijumaa timu itakuwa ikijiandaa kisha siku hiyo hiyo Ijumaa itaelekea Ureno.
 
Well, umeikosa point yangu ya msingi. Kimsingi umejibu amacho sikusema. Soma tena taratibu hiyo post uielewe.
Na wewe uliikosa maana yangu, nimezungumzia usajili na masuala mazima ya replacement. Rudi kwenye mada yangu, ukinielewa nami nitakuelewa
Kwa kunukuu, ulijibu maoni yangu haya hapa

Wachezaji wafuatao ni lazima wafanyiwe replacement

  1. Zouma - Anacheza vizuri ila ni risk player
  2. Jorginho - Hana consistency
  3. Emerson - amepoa sana
  4. Giroud - apishe damu mpya, ni mfungajio mzuri lakini sio level ya ubingwa wa EPL
  5. Tammy Abraham - Ni mfungaji mzuri ila sio kwa level ya ubingwa wa EPL, labda kama lengo letu ni top 4 tu

Wachezaji wanaotakiwa
  1. Striker level ya magoli 20+ kwa msimu 80m
  2. CB level ya Silva 50m
  3. Kiungo mfungaji wa 10+ goals kwa msimu 50m
Angalau zitumike 180m

Wewe ukajibu hivi
Tulimuuza Juan Matta kwa sababu kama hizi, alipokwenda ManU akawa tishio. Kwa sababu zako 4 inapaswa na Thiago naye apishe damu mpya. Kwenye mpira unaangalia uwezo wa mtu sio damu changa sijui mpya. Romario amestaafu akiwa na Umri gani? Patrick M'Boma? Madaraka Suleiman? Hawa wote walikuwa aged ila walikuwa wazuri kufunga. So walidumu. Kuwa na Backup kijana ni nzuri kwa future, ila ni ujinga kupoteza mechi, mna mfungaji eti kisa ni ana umri mkubwa!

Nikakujibu kwa kurefer maoni yangu ya msingi baada ya wewe kujibu na kujichanganya sana mara akina mboma aged mara madaraka suleiman, mara Juan Matta tulikosea mara blaa blaa nami nikakujibu hivi
Usimlinganishe Silva na OG wala OG na Kane au Haaland!!!!
OG ni striker na Silva ni CB
OG ni striker wa goli 7 au 8 akizidi sana 10+ kwa msimu Kane ni striker wa goli 20+ kwa msimu
Haaland ni striker wa goli 20+ kwa msimu
Hata wewe ungekuwa kocha ungekuwa na mahaba na Tammy na OG
Kama tunataka ubingwa OG hafai wala Tammy hafai
Matta sio level ya Ubingwa na ndio maana Man United wamefanya vizuri baada ya kumuweka benchi na kuwatumia zaidi vijana
OG tunamzungumzia kwa umri wake in relation na yeye peke yake, kuna striker mwingine katika age hiyo anafunga vizuri kama Ibrahimovich
So kama una agenda ya kumtetea OG usitumie mifano ya wengine binadamu hawalingani kabisa
Sorry sir sasa naanza kuelewa uwezo wako wa kuchambua mada ktk michezo sio mzuri
 
Sijui kama umemuelewa mwamba mana ulichojibu ni tofauti na hoja yake, ni kwamba kwa sasa striker tulienae ni OG na Tammy, kwa nini wasitumike badala yake tunacheza bila striker. Wala hakuna aliposema kua amemfananisha OG na Kane wala Halland.

OG na Tammy sawa hawafai, sasa ndio tuliokua nao. Mana hata tukicheza bila strike ni yale yale tu bora kuwe na striker. timmo mwenyewe papara kibao bora OG tu akikukosa chance moja rahis anakufunga chance ngumu.
Issue hata angekuwa OG au Tammy, wangejaza nafasi bure tu, kwani si tumewatumia sana tumeishia kulaumu tu, tuangalie msimu ujao tusajili kama nilivyoshauri wala mimi sikuwa kwenye mechi na Aston Villa, nyie ndio mmerukia mada
 
Naona wachezaji wamepewa mapumziko ya siku mbili yaani leo Jumatatu na Jumanne kisha Jumatano wataripoti tayari kwa kujiandaa na fainali ya UEFA. Jumatano mpaka Ijumaa timu itakuwa ikijiandaa kisha siku hiyo hiyo Ijumaa itaelekea Ureno.
Hadi hapo najua mshapata kisingizio
 
Na wewe uliikosa maana yangu, nimezungumzia usajili na masuala mazima ya replacement. Rudi kwenye mada yangu, ukinielewa nami nitakuelewa
Kwa kunukuu, ulijibu maoni yangu haya hapa

Wachezaji wafuatao ni lazima wafanyiwe replacement

  1. Zouma - Anacheza vizuri ila ni risk player
  2. Jorginho - Hana consistency
  3. Emerson - amepoa sana
  4. Giroud - apishe damu mpya, ni mfungajio mzuri lakini sio level ya ubingwa wa EPL
  5. Tammy Abraham - Ni mfungaji mzuri ila sio kwa level ya ubingwa wa EPL, labda kama lengo letu ni top 4 tu

Wachezaji wanaotakiwa
  1. Striker level ya magoli 20+ kwa msimu 80m
  2. CB level ya Silva 50m
  3. Kiungo mfungaji wa 10+ goals kwa msimu 50m
Angalau zitumike 180m

Wewe ukajibu hivi
Tulimuuza Juan Matta kwa sababu kama hizi, alipokwenda ManU akawa tishio. Kwa sababu zako 4 inapaswa na Thiago naye apishe damu mpya. Kwenye mpira unaangalia uwezo wa mtu sio damu changa sijui mpya. Romario amestaafu akiwa na Umri gani? Patrick M'Boma? Madaraka Suleiman? Hawa wote walikuwa aged ila walikuwa wazuri kufunga. So walidumu. Kuwa na Backup kijana ni nzuri kwa future, ila ni ujinga kupoteza mechi, mna mfungaji eti kisa ni ana umri mkubwa!

Nikakujibu kwa kurefer maoni yangu ya msingi baada ya wewe kujibu na kujichanganya sana mara akina mboma aged mara madaraka suleiman, mara Juan Matta tulikosea mara blaa blaa nami nikakujibu hivi
Usimlinganishe Silva na OG wala OG na Kane au Haaland!!!!
OG ni striker na Silva ni CB
OG ni striker wa goli 7 au 8 akizidi sana 10+ kwa msimu Kane ni striker wa goli 20+ kwa msimu
Haaland ni striker wa goli 20+ kwa msimu
Hata wewe ungekuwa kocha ungekuwa na mahaba na Tammy na OG
Kama tunataka ubingwa OG hafai wala Tammy hafai
Matta sio level ya Ubingwa na ndio maana Man United wamefanya vizuri baada ya kumuweka benchi na kuwatumia zaidi vijana
OG tunamzungumzia kwa umri wake in relation na yeye peke yake, kuna striker mwingine katika age hiyo anafunga vizuri kama Ibrahimovich
So kama una agenda ya kumtetea OG usitumie mifano ya wengine binadamu hawalingani kabisa
Sorry sir sasa naanza kuelewa uwezo wako wa kuchambua mada ktk michezo sio mzuri
Duh! Sio ugomvi mzee. Tunaweza kuliachia hapa tu. naona umepata moto kweli.
 
Cesar Azpilicueta: Chelsea captain has red card against Aston Villa overturned after appeal
Azpilicueta, 31, will no longer face a three-match ban at the start of next season.
 
UEFA yawapiga ban Real Madrid, Barcelona and Juventus kushiriki mashindano ya UEFA kwa miaka miwili
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom