Watkins piga hawa mbuzi..

Yaani unashindwa kumfunga Villa ili ujiakikishie top four unawaza bahati nasibu za UCL..Pep atawararua kama hana akili nzuri..jumamosi sio mbal
Katiba inakuruhusu uropoke uwezavyo ilimradi usijichanganye sababu hulipii vat zaidi ya kiherehere chako tu binafsi
 
😀😁😂🤣😃😄😅😆🙄🙄🙄🙄🙄
Screenshot_20210523-192519_Goal Live.jpg
 
Katika mpira kubebwa na kubebana kumo. Villa tulimbeba msimu uliopita hakushuka daraja, msimu huu mechi yao kabla na nyinyi alitusaidia kiukweli.

Mkitoka hapo nendeni mkalike page ya Spurs insta
 
Back
Top Bottom