Wanaume tukibeba UEFA tunakuomba ujipitulishe hapa tena na kanga 1 mremboWe mpeleke moto,peleka moto..Villa peleka moto.
Europa league here we come.
Aisee
Watkins piga hawa mbuzi..Wanaume tukibeba UEFA tunakuomba ujipitulishe hapa tena na kanga 1 mrembo
Katiba inakuruhusu uropoke uwezavyo ilimradi usijichanganye sababu hulipii vat zaidi ya kiherehere chako tu binafsiWatkins piga hawa mbuzi..
Yaani unashindwa kumfunga Villa ili ujiakikishie top four unawaza bahati nasibu za UCL..Pep atawararua kama hana akili nzuri..jumamosi sio mbal
shida yetu kombe laUEFA tu
Kama mshajua inatosha
Nba bahati sana nyie kuku, ila mpaka hapo sidhani kama ntaendelea kuwa na kiburi chakusema kuwa hakuna team inayoweza ku-unlock kikosi chenu.Bale katubeba
Kama mnajua hilo haina shidaIla kwa uchezaji huu CITY anaenda kutushikisha ukuta