Rasmi ninyi ni vibonde wetu!Amken kenge nyie ..
Aguero kaamua kuwasamehe penalty
Mazoezi ya Instabul, kikweli leo Chelsea B imemfunga City kwenye mazoezi, waone haya hao underdogs hawana hata aibuHaya yalikuwa mazoezi
Mko wapi jaman hiii ni kupasha tu
Ngapi hukooooooo
Yule Timo warner hafungi lakini ni.m hezaji hatari san magoli mengi yanapita miguuni kwakeMazoezi ya Instabul, kikweli leo Chelsea B imemfunga City kwenye mazoezi, waone haya hao underdogs hawana hata aibu
Amken kenge nyie ..
Aguero kaamua kuwasamehe penalty
Jamaa hafungi lakini uwepo wake tu uwanjani unawapa pressure timu pinzaniYule Timo warner hafungi lakini ni.m hezaji hatari san magoli mengi yanapita miguuni kwake
Kenge vp?Amken kenge nyie ..
Aguero kaamua kuwasamehe penalty
Kwanza Gilmour hapo alijitahidi kumkwepa kwa sababu yeye ndie alimfuata kumgonga kwa nyuma, Taylor huwa haipendi Chelsea lakini leo tumemzidi ujanja
Tjnasubiri kuwasokomeza kijiti cha mwishoKupoteza hii match ni nzuri zaidi kwa city kuliko tunge win ...
Huenda tungeshinda ,tungejipa matumaini hewa juu ya final ,but pep ametoka na kitu kuhusu hii game ..
Yes mmetufunga fa ,EPL consecutively ,but bado tuna nafis zaidi kukutana final..
Kwa upande wetu hii match haina madhara yeyote ,ila imetupa onyo 29 may ....
Come on cityzen