Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kupoteza hii match ni nzuri zaidi kwa city kuliko tunge win ...

Huenda tungeshinda ,tungejipa matumaini hewa juu ya final ,but pep ametoka na kitu kuhusu hii game ..

Yes mmetufunga fa ,EPL consecutively ,but bado tuna nafis zaidi kukutana final..

Kwa upande wetu hii match haina madhara yeyote ,ila imetupa onyo 29 may ....


Come on cityzen

Mkuu mbona umeonge kwa uzuni sana. Mpe Tuchel heshima yake[emoji23][emoji23]
 
Kupoteza hii match ni nzuri zaidi kwa city kuliko tunge win ...

Huenda tungeshinda ,tungejipa matumaini hewa juu ya final ,but pep ametoka na kitu kuhusu hii game ..

Yes mmetufunga fa ,EPL consecutively ,but bado tuna nafis zaidi kukutana final..

Kwa upande wetu hii match haina madhara yeyote ,ila imetupa onyo 29 may ....


Come on cityzen
Pumba tupu. Ivi unafikiri Tuchel ni mjinga? Yaani tena tarehe 29 mkija hovyo ndio mtakula nyingi vibaya sn.
 
Tuwekeeeni zile tackle za Zouma hapa jamani, Zouma is the risk taker
 
Kupoteza hii match ni nzuri zaidi kwa city kuliko tunge win ...

Huenda tungeshinda ,tungejipa matumaini hewa juu ya final ,but pep ametoka na kitu kuhusu hii game ..

Yes mmetufunga fa ,EPL consecutively ,but bado tuna nafis zaidi kukutana final..

Kwa upande wetu hii match haina madhara yeyote ,ila imetupa onyo 29 may ....


Come on cityzen
Na wewe iwe funzo kwako kitobo wewe. uachege kiherehere.
 
Magoli ya leo yanafanana kimuundo na magoli tuliyofungwa na man City kwenye ligi mkondo wa kwanza.

Chelsea walianza kufunga kipindi cha kwanza kupitia kwa Kante, then man City akafanya came back kipindi cha pili,
Leo man City wameanza kufunga kipindi cha kwanza, then tukafanya came back kipindi cha pili.

London is blue 💙💙💙
 
Madrid - Jumatano
City - Jumamosi
Arsenal - jumatano
Leicester - Jumapili
Leicester - Jumatano
Villa - Jumamosi

Wachezaji wetu wanachoka balaa.

Mechi ya jana wachezaji walicheza kwa style ya kupoozesha mwili.

Real Madrid [emoji736]
Man City [emoji736]
Arsenal......loading
Leicester.......loading
Leicester........Loading
Aston Villa.......Loading
Man City...........Loading

#Comeonetheblues#
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom