Kesho mapema tunawapiga goli mbili ,tunaweka EPL kabatini ..!Mkuu we Tulia kesho tunaanza First Leg[emoji23][emoji23][emoji23]
Hiyo match kocha wa chelsea alikuwa baba yako? .Toka tuchel awe kocha hakuna mechi Cheltako imeshinda goli Zaid ya 2 au walau zifike 3 [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kesho mapema tunawapiga goli mbili ,tunaweka EPL kabatini ..!
Kesho mapema tunawapiga goli mbili ,tunaweka EPL kabatini ..!
Tunaitaka nafasi ya pili, mi nataka nyumbu apgwe na Leceater. Halafu Lecestr tutamalizana nao wenyewe.Leicester City vs Newcastle 2-4 FT
Lecester city wameanza ulevi wa kudondoka top 4,
Leo akifungwa na Newcastle, mechi zote tatu zilizobaki anafungwa na atabakia na pts 63, Poor Leicester, zimwi la mwaka jana limeshawakaba koo
Timu hizi zitaifunga LCFC
- Man United,
- Chelsea na
- Totenham
1.Kugombana na wachezaji mfano mzuri alikuwa amtumii Rudiger kabisa hata benchi alikuwa hawekwi, Alonso pamoja na kamteni wetu Alzipicueta alikuwa anapigwa benchi mechi nyingi.Hongereni mlistahili ushindi tena mnono ila naomba shabiki mmoja anieleze kiufundi lampard alikwama wapi?maana mmekuwa kama wapya hivi
Halafu tuna Kante na pacha wake, akicheza Kante DM pacha wake anacheza CAM hadi rahaJoginho anaendelea kufanya kazi kubwa sana uwanjani, Kovacic asikimbizwe kucheza bali apone kabisa majeruhi ikiwezekana ajiandae kwa ajili ya fainal UCL.
Nyie Leo mtajuta kuingia uwanjan ,tunawawashia moto kama PSG kudadeeeeeek...Kwa ufupi form ya kila mchezaji sasa hivi iko juu na wachezaji wanazitafsiri vizuri mbinu za kocha na ya mazoezi uwanjani. Hii ndio siri ya Chelsea kuendelea kufanya vizuri
Hii isipovurugika, tunakamata nafasi ya 3 kwa urahisi na ndoo kubwa na ndogo tunabeba kwa mpigo
Hata city hawana amani nasi ni kwa vile tu hao mashabiki wao hawana pa kusemea hisia zao
We jamaa unaweweseka aisee dah! ........... tukiwafunga inabidi mtu awe na ww karibu mana unaweza ukachukua maamuz magumu.Nyie Leo mtajuta kuingia uwanjan ,tunawawashia moto kama PSG kudadeeeeeek...
Ww jamaa dawa yako tutaizindua trh 29 naona dawa ya FA haijakutosha, leo tutakupiga ya kukufundisha heshima.Nyie Leo mtajuta kuingia uwanjan ,tunawawashia moto kama PSG kudadeeeeeek...