Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kuna baadhi ya wachezaji wanacheza kwa kiwango kikubwa wakiwa na timu ndogo, ila wakiwa timu kubwa performance yaoo inakua mbovu sana..mfano mzuri ni Shaqiri alipokua Bayern,inter, na sasa Liverpool anaonekana mzigoo ila alipokua Basel na stoke city kila mtu alkua anashangaa why yupo kwenye hzo timu ndogo...pia lingard na Arnautovic vivyo hivyo kwa Tammy Abraham alipokua championship kule Aston villa alkua fire but kurud Chelsea anacheza kistaa mno jamaa kama Rashford tu wa man utd..wanakera sana sometime
 
Rudiger is ruled-out for injury

Tuchel said

"Toni got injured in the last minute of the Madrid game. I am quite positive for [him being available] for Wednesday."
 
Mungu saidia jumatano awepo uwanjani. Tuweke ukuta wa Berlin mpaka Madrid abigwe butwaa.

--------------- Ermason - James ------------

Chilwell - Kovacic - Joginho - Kante- Azipu

--------- Rudger- Thiago- Christensen --------

Halafu tunacheza nusu uwanja

FT. Chelsea 0- 0 Madrid

Hivi kwa mfano tukipanga kikosi kama hichi kwa lengo la kutofungwa goli, tukaamua kupark basi mwanzo mwisho hakuna kushambulia.

Lengo litatimia? mpira utachezeka? Kimbinu/kimfumo selection ya wachezaji hapo juu imekaaje kwa lengo la kutoa bila bila?
Hiyo game tunamnywa Mardid bao moja bila..
Amini kwamba..
#CFC
 
Man City baada ya kushinda leo, sasa anatakiwa ashinde mechi moja tuu kati ya 4 alizobakiza, atangazwe kuwa bingwa EPL 2020/2021.

Mechi inayofuata Chelsea vs City asitangazie ubingwa kwetu. Shubamiiit zake
Mbaya zaidi tutakuwa tumemalizana na PSG ..

Tunakuja kuvunja hilo daraja LA hapo London ,mtajuta kuingia uwanjani kudadekii ..


Camoon the ctyzen
 
Man City baada ya kushinda leo, sasa anatakiwa ashinde mechi moja tuu kati ya 4 alizobakiza, atangazwe kuwa bingwa EPL 2020/2021.

Mechi inayofuata Chelsea vs City asitangazie ubingwa kwetu. Shubamiiit zake.

Ila nyumbu akifungwa kesho na Liverpool basi CITY anakuwa bingwa kesho.

Na itapendeza zaidi Nyumbu ashinde ili amsukume liver mbali na sisi kwenye mbio za TOP 4
Man United akifungwa kesho na Liverpool, Man City bingwa
 
Mechi kali sana, hii HESGOAL LIVE STREM ni hatari sana kwakweli, yani unadhani unaangalia mpira kwenye DSTV kumbe uko na kismart cha mchina tu home
 
Werner katoa assist nzuri sana kwa Ziyech lakini kipa wa Fulham kaokoa vizuri, ngoja tuone second half time itavyokuwa japo naona Fulham wanafanya mashambulizi ya hatari sana langoni mwa Chelsea, japo ni ya kushtukiza
 
Werner katoa assist nzuri sana kwa Ziyech lakini kipa wa Fulham kaokoa vizuri, ngoja tuone second half time itavyokuwa japo naona Fulham wanafanya mashambulizi ya hatari sana langoni mwa Chelsea, japo ni ya kushtukiza
Werner anaweza asifunge ila kwa kuassist anatusaidia sana
Ukitaka kuona jins tunavyosumbuka siku werner asiwepo huwa tunahangaika sana kutengeneza nafasi
 
Lile goli la kwanza Werner angeukuta mpira ule angeokoa kama lile goli dhidi ya Leeds United mechi ya kwanza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom