Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 31,983
- 64,014
Vinabo wawili mnakutana mmoja kapigwa na manchesta mbovu mwingine kala 5 kwa west bromNyie tunawapiga goli 6
Chealsea kumfunga city ni sawa na ngamia kupenya kwenye tundu la sindano ...
Vinabo wawili mnakutana mmoja kapigwa na manchesta mbovu mwingine kala 5 kwa west bromNyie tunawapiga goli 6
Chealsea kumfunga city ni sawa na ngamia kupenya kwenye tundu la sindano ...
Waamuzi sasa wanatakiwa kumlinda sn Pulisic maana anachezewa rafu sn2011 Messi akiwa takriban karibu na umri wa Pulisic kwenye UCL dhidi ya Real Madrid alifanyiwa rafu 11 zilizoonwa na refa na Jana Pulisic baada ya takriban miaka 10 alifikisha kiwango hicho cha kushinda mipira ya faul mara 11 kama Messi wa 2011 na kufanya kuwa kiwango kikubwa kwenye michuano ya UCL mchezaji mmoja kufanyiwa rafu 11 zilizoonwa na refa
Arsenal wanatia hurumu hata team zenye thamani kubwa tumewapita alafu wakuja huku wanakujakutupigia keleleMost semi-final appearances by English teams in the Champions League era:
◉ Chelsea (8)
◎ Man Utd (7)
◎ Liverpool (5)
◎ Arsenal (2)
◎ Man City (1)
◎ Spurs (1)
◎ Leeds (1)
Blue is the colour.
Dortmund vs Man City FT 1-2Matokeo ya awali
Liverpool vs Real Madrid 0-0 on Agg 1-3 Real Madrid anasonga mbele kwenye nusu finali
Dortmund vs Man City 1-2 on Agg 2-4 Man City anasonga mbele kwenye nusu finali
Nusu Finali itakuwa kama Ifuatavyo
Real Madrid vs Chelsea
PSG vs Man City
Yaani Mardid ni mtelezo .....Angepita liva ingekua vigumu sana sisi kwenda fainali.Tumeingia fainali naona.
HahahahaaYaani Mardid ni mtelezo .....Angepita liva ingekua vigumu sana sisi kwenda fainali.
Fainali.
PSG Vs Chelsea
Tarehe 17 Man City vs Chelsea.??Tarehe 17 Man City vs Chelsea.
Tarehe 27 Madrid vs Chelsea.
Hizi game mbili kubwa ni kipimo kikubwa sn kwa Thomas Tuchel alafu zote ni game za nusu fainali.
Mpk kufikia hii hatua ni mafanikio makubwa sn Thomas Tuchel. Na pia km atafaulu kufika fainali ktk game zote mbili itakua poa sn
Tarehe 17 Man City vs Chelsea.??