Antonio Conte
JF-Expert Member
- Dec 6, 2017
- 1,089
- 1,748
Mara ya mwisho kufika nusu ilikua 2014God is Good. Tujipongeze kwanza kwa Kuquolifai hatua ya nusu fainali since 2012 baada ya kubeba Champion Legue.
Naamini kocha atapanga kikosi imara kumkabili Gardiola. Tho kwasasa naona wachezaji wote wako imara kwa chochote.


