Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

God is Good. Tujipongeze kwanza kwa Kuquolifai hatua ya nusu fainali since 2012 baada ya kubeba Champion Legue.

Naamini kocha atapanga kikosi imara kumkabili Gardiola. Tho kwasasa naona wachezaji wote wako imara kwa chochote.
Mara ya mwisho kufika nusu ilikua 2014
 
Japo jana Kante hakuwa fit kwa sababu ya majeruhi ila combination ya Jorginho na Kante huwa haikubali sijui shida ni nini. Kovacic akicheza na Kante au Jorginho katikati inatulia, lakini Jorginho na Kante wakicheza huwa tunazidiwa
Bora ushindi tu..
Ndio msingi
 
Japo jana Kante hakuwa fit kwa sababu ya majeruhi ila combination ya Jorginho na Kante huwa haikubali sijui shida ni nini. Kovacic akicheza na Kante au Jorginho katikati inatulia, lakini Jorginho na Kante wakicheza huwa tunazidiwa
Hawana uwezo wa kudribo mipira. Hicho ndio Kova anawazidi. Kante na Jorginho wao ni watu wa kutoa pass tu walau kidogo Kante unaweza muona mara moja moja anakokota mpira na kwenda nao mbele lkn Jorginho yeye akipewa pass basi unakuta ameshajianda kutoa basi sehemu au km atakabwa atampa mwili adui kuulinda mpira kisha anatoa pass...
 
For sure. Jana poto wangekuwa makini na zile shambulizi zake basi tungeumia au tungebaki kushika viuno tu baada ya mechi. But yote kheri naamini kocha amelitazama hilo
Ilitarajiwa hivyo kwasababu fc porto Ndiyo waliitaji matokeo zaidi to fightback..

Ikumbukwe fc porto huwa hawatabiriki mpaka dakika 180..
Man utd ya Mzee Ferguson ilijiona Imemaliza kazi, waliposafiri hadi old Trafford 2nd leg kilichowakuta man utd waliadithia, ilikuwa ni fc porto ya Mourinho ikiwa na nyota wa South Africa mkata umeme aliyepeleka kilio Trafford Benny McCarthy.
 
Japo jana Kante hakuwa fit kwa sababu ya majeruhi ila combination ya Jorginho na Kante huwa haikubali sijui shida ni nini. Kovacic akicheza na Kante au Jorginho katikati inatulia, lakini Jorginho na Kante wakicheza huwa tunazidiwa
Tangia siku za nyuma huwa ipo hivo.
 
Ila Kuna mechi inakulazimisha technically uwapange Jorginho na kante kutokana na types zao. Na ili plan ifanikiwe inakubidi iwe hivyo. Kwenye modern football mechi ndio inayo mhitaji mchezaji Fulani sio mchezaji kuitaka mechi

Unaweza kuja na plan ya kumuachia mpinzani akae na mpira muda mwingi kwenye eneo lake. Ukisubiri aje kwako ili ufanye pressing uchukue mpira quickly utumie ile mianya waliyo iacha ukafunge . so usiogope kutawaliwa kiwanjani furahia matokeo ya plan yako
 
Nyie tunawapiga goli 6

Chealsea kumfunga city ni sawa na ngamia kupenya kwenye tundu la sindano ...
 
Nyie tunawapiga goli 6

Chealsea kumfunga city ni sawa na ngamia kupenya kwenye tundu la sindano ...
City hana nguvu ya kupambania makombe yote mwaka huu, mechi za Man U na Leeds inaonyesha jinsi City alivyoishiwa pumzi. Tutegemee city mechi za mwishoni atafungwa sana au droo sana na pia makombe kama UEFA na FA hataweza kupambania yote pamoja na EPL. Tumtegemee PEP akiweka kipaumbele zaidi kwenye EPL ili Man U asimkute
 
Ilitarajiwa hivyo kwasababu fc porto Ndiyo waliitaji matokeo zaidi to fightback..

Ikumbukwe fc porto huwa hawatabiriki mpaka dakika 180..
Man utd ya Mzee Ferguson ilijiona Imemaliza kazi, waliposafiri hadi old Trafford 2nd leg kilichowakuta man utd waliadithia, ilikuwa ni fc porto ya Mourinho ikiwa na nyota wa South Africa mkata umeme aliyepeleka kilio Trafford Benny McCarthy.

Porto walicheza kwa kujiamini lakini hawakuwa na mbinu ya kufunga. Next Liverpool/Real Madrid
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom