Swali zuri anashinda kujua kwa sasa asilimia kubwa ya maforward wanaofanya vizuri ni wale agedKwa mfano Zile nafasi za magoli ya wazi anazokosa Werner, Lukaku angezikosa?
Damu changa unayozungumzia ni Haaland ambaye ametuchomolea nje, damu changa ipi nyingine yenye caliber ya Haaland?