Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Nazungumzia ule utukutu wa ndani ya uwanja km kina Roy Keane. Au kina pepe..yaan ye kutoka na Kadi za njano au nyekundu ni kawaida kwake
Akiwa Chelsea ana matukio machache ila mwishoni alianza kupoteza ile nidhamu yake. Aliuzwa kwenda Kings Power. Ilikuwa ni miaka ya mwishoni mwake Chelsea.

Ila akiwa Chelsea kama captain hakuwa mtu wa matukio kama akina Paul Gascoine Gazza
 
Akiwa Chelsea ana matukio machache ila mwishoni alianza kupoteza ile nidhamu yake. Aliuzwa kwenda Kings Power. Ilikuwa ni miaka ya mwishoni mwake Chelsea.

Ila akiwa Chelsea kama captain hakuwa mtu wa matukio kama akina Paul Gascoine Gazza
Ok Ila now Nimejaribu kumfuatilia Google jamaa alishawahi kufungwa jela miezi 3 na alimpasua pua mchezaji mwenzake wa Leicester mazoezini.....na pia alipokuwa Chelsea alimfanyia fujo mchezaji mmoja wa nyumbu kwenye mechi ya ligi
 
Ok Ila now Nimejaribu kumfuatilia Google jamaa alishawahi kufungwa jela miezi 3 na alimpasua pua mchezaji mwenzake wa Leicester mazoezini.....na pia alipokuwa Chelsea alimfanyia fujo mchezaji mmoja wa nyumbu kwenye mechi ya ligi
True, alikata rufaa kifungo kikafutwa. Mwishoni mwa siku zake Chelsea alipiga hayo matukio. Aliadhibiwa kwa kuvuliwa ukapteni kwa muda.

Ila kwa muda aliokaa pale na nidhamu ya nyuma akarudishiwa tena. Nadhani meneja alinusa kitu mapema ndio maana akamuuza. Ndio maana kwenye amelezo yangu kuna mkazo "alipokuwa Chelsea" 😉
 
1616621654113.png
 

Report: Chelsea suffer blow as Erling Haaland's transfer to Real Madrid 'practically done'​


1616626710386.png
 
No. 9 wa Chelsea kuanzia 2010 hadi leo
Nani alifanya vizuri na nani hakuishi kwenye matarajio ya Timu na kocha

  1. Lukaku kasajiliwa 2011-2014 akitokea Anderlecht, mechi 10 goli 0
  2. Fernando Torres - Kasajiliwa 2011/15 akitokea Liverpool, mechi 110 goli 20
  3. Didier Drogba - Kasajiliwa msimu wa 2004/2012 akitokea Marseille na 2014/15 akitokea Galatasaray, mechi 254 goli 104
  4. Alexandre Pato - Kasajiliwa msimu wa 2015/16 akitokea Corithians kwa mkopo, Mechi 2 goli 1
  5. Alvaro Morata - Kasajiliwa msimu wa 2017-20 akitokea Real Madrid, mechi 47 goli 16
  6. Demba Ba - Kasajili msimu wa 2013/14 akitokea New Castle. Mechi 33 goli 7
  7. Diego Costa - Kasajili msimu wa 2013/17 akitokea Atletico Madrid, mechi 89 goli 52
  8. Gonzalo Higuain - Kasajili mkopo 2019 Januari nusu msimu akitokea Juventus, Mechi 14 goli 5
  9. Loïc Rémy - Kasajiliwa msimu wa 2014/17 akitokea QPR, Mechi 32 goli 7
  10. Michy Batshuayi - Kasajiliwa msimu wa 2016/17 akitokea Masseille, mechi 48 goli 8
  11. Mohamed Salah - Kasajili msimu wa 2014/16 akitokea Basel, mechi 13 goli 2
  12. Olivier Giroud - Kasajili msimu wa 2018 hadi leo akitokea Arsenal, mechi 72 goli 17
  13. Radamel Falcao - Kasajili mkopo msimu wa 2015/16 akitokea Monaco, mechi 10 goli 1
  14. Samuel Eto’o - Kasajiliwa msimu wa 2013/14 akitokea Anzhi Makhachkala, mechi 21 goli 9
  15. Tammy Abraham - Kasajiliwa msimu wa 2020 hadi leo kutokea Academy, Mechi 56 goli 21
  16. Timo Werner - Kasajiliwa msimu wa 2020 hadi leo akitokea Lepzig, mechi 28 goli 5
 
Chelsea wanawake wawafunga Wolfsburg na kutinga Robo Fainali za UEFA wanawake.

Wolfsburg ndio mojawapo ya timu za wanawake bora barani Ulaya na ushindi wa Chelsea ulitokana na finishing nzuri ili karibu game lote Wolfsburg walicheza vizuri na Chelsea walikoswa koswa sana

Chelsea 2-1 VfL Wolfsburg
Blues Secure Victory In Quarter Final First Leg | UEFA Champions League
 
Waafrika waliobeba ndoo ya UEFA na timu zao kuanzia mwaka 2000 hadi sasa
  1. 🇨🇲 Geremi (2000, 2002) - Real Madrid
  2. 🇬🇭 Samuel Kuffour (2001) - Bayern Munich
  3. 🇿🇦 Benni McCarthy (2004) - Porto
  4. 🇲🇱 Djimi Traoré (2005) - Liverpool
  5. 🇨🇲 Samuel Eto'o (2006, 2009, 2010) 2006 na 2009 - Barcelona, 2010 - Inter Milan
  6. 🇨🇮 Yaya Touré (2009) - Barcelona
  7. 🇲🇱 Seidou Keïta (2009, 2011) - Barcelona
  8. 🇬🇭 Sulley Muntari (2010) - Inter Milan
  9. 🇰🇪 McDonald Mariga (2010) - Inter Milan
  10. 🇳🇬 John Obi Mikel (2012) - Chelsea
  11. 🇨🇮 Salomon Kalou (2012) - Chelsea
  12. 🇬🇭 Michael Essien (2012) - Chelsea
  13. 🇨🇮 Didier Drogba (2012) - Chelsea
  14. 🇲🇦 Achraf Hakimi (2018) - Real Madrid
  15. 🇬🇳 Naby Keïta (2019) - Liverpool
  16. 🇪🇬 Mohamed Salah (2019) - Liverpool
  17. 🇸🇳 Sadio Mané (2019) - Liverpool
  18. 🇨🇲 Joël Matip (2019) - Liverpool

Mwaka huu Mungu akipenda watakuwa ni:
  1. 🇸🇳 Édouard Mendy (2021) - Chelsea
  2. 🇲🇦 Hakim Ziyech (2021) - Chelsea
 
Wachezaji wote wa Chelsea waliocheza jana baina ya England na San Marino walihusika kwenye magoli matano waliofunga England
Ben Chilwell alitoa assist kwa James Ward-Prowse goli la kwanza
Reece James alitoa assist kwa Dominic Calvert Lewin kwa goli la pili
Mason Mount alitoa assist kwa Raheem Sterling kwenye goli la tatu

Naye Kai Havertz kaifungia Ujerumani goli la pili na kuifanya Ujerumani kuifunga Iceland goli 3-0
 
Wachezaji wote wa Chelsea waliocheza jana baina ya England na San Marino walihusika kwenye magoli matano waliofunga England
Ben Chilwell alitoa assist kwa James Ward-Prowse goli la kwanza
Reece James alitoa assist kwa Dominic Calvert Lewin kwa goli la pili
Mason Mount alitoa assist kwa Raheem Sterling kwenye goli la tatu

Naye Kai Havertz kaifungia Ujerumani goli la pili na kuifanya Ujerumani kuifunga Iceland goli 3-0
Yale machezaji ya timu zingine hayajafunga wala kutoa assist?

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Wachezaji wote wa Chelsea waliocheza jana baina ya England na San Marino walihusika kwenye magoli matano waliofunga England
Ben Chilwell alitoa assist kwa James Ward-Prowse goli la kwanza
Reece James alitoa assist kwa Dominic Calvert Lewin kwa goli la pili
Mason Mount alitoa assist kwa Raheem Sterling kwenye goli la tatu

Naye Kai Havertz kaifungia Ujerumani goli la pili na kuifanya Ujerumani kuifunga Iceland goli 3-0
Asante kwa kutuletea hii habari maana me michuano ya kimataifa sifuatilii sana
 
Chelsea has been named the best English club of the decade in the IFFHS (International Federation of Football History and Statistics) list of top clubs in England and Europe between 2011 and 2020.
1616761428746.png

Here are the Best English teams of the decade 2011-2020;

  1. Chelsea
  2. Manchester City
  3. Manchester United
  4. Arsenal
  5. Tottenham
  6. Liverpool
  7. Everton
The best clubs of the World for the same decade are
  1. Barcelona
  2. Real Madrid
  3. Bayern Munich
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom