Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kipindi cha FL kila shabiki wa the blue alikua anauliza ipi ni first eleven ya Chelsea?

lakini kwasasa kila shabiki wa chelsea ameifahamu first eleven bila ubishi kila mchezaji kapewa nafasi yakutosha kuonyesha uwezo wake nakujifahamu, big up TT umefufua team yetu kila shabiki anaanza kuifuatilia na kuelewa vuzuri.
 
14 games
10 wins
12 clean sheets
#FACup semi-finalists
#UCL quarter-finalists
#Fighting to finish inside the top four.

I was sceptical when we announced him but it’s fair to say it couldn’t have gone much better so far. Let’s hope it continues after the international break. #CFC

#Thomas #Tuchel
IMG_20210321_202302.jpg
 
FA Semi Final draw
Chelsea VS Man City
Leicester City VS Southamptom

Kuna kila dalili Manyumu yasitoboe
 
Kuna jamaa walichoka sana, akiwemo Odoi, Kovacic, Gilmour, Christensen. Giroud yeye hakuwa hata anacheza, hakupata huduma na wala hakujitahidi kuitafuta huduma na ndio tofauti ya Giroud na akina Werner na Haverts wakicheza na. 9
Ulitaka akautafute wapi? giroud kazi yake sio kuutafuta mpira
 
Yes mkuu.


Ila huyu Thomas Tuchel no kocha mzuri sn Chelsea hatujawahi kupata. Nimekuwa namuelewa sn kwa kila kitu na moja ya kitu ninachompongeza huyu kocha ni kuweza kuwapa nafasi wachezaji wote ya kucheza.


Alafu ana mbinu Fulani kwa kutegemea uwezo wa wachezaji.


Mafano Leo ako na mfumo was 3+4+3 lkn hii ni km 4+3+3 maana anatumia uwezo was Christiansen kucheza kulia anakava mpk beki ya kulia ya pembeni. Kwahiyo Odoi muda wote anashambulia tu.

Wakati huo Emerson anaweza kucheza km cb wa kati upande wa kushoto na anacheza pia beki wa kushoto wa pembeni km Ben Chilwell kapanda mbele sn.


Kwa maana hiyo basi km tunashambuliwa sn ndio utamuona Ben anarudi ktk nafasi yake na Odoi na hawa cb watatu wanarudi kati wote


Lkn Tuchel ni bomba la kocha na atatupeleka mbali sn kwa hiki kikosi kipana tulicho nacho.


Jambo jingine naona Pulisic anachezewa sn rafu yaani kila akigusa mpira wanamla


Kwa namna tulivyo na njaa namna hii makombe haya yanayo zagaa zagaa mbele yetu la FA na UEFA tunayabeba yote
Kwa uwezo wa wachezaji naamini tutanyakua kimoja wapo au zote
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom