Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

TT mjanja sana hataki kumuachia Mendy aende Senegal, ety Mendy anaumwa meno [emoji23][emoji23][emoji23] anaogopa asije kwenda halafu avunjwe huko tushindwe kumfunga man City na kuchukua FA & UEFA
Dah amekosa kabisa cha kumsemea akaona atumie meno tu maana viungo vyote ni vyizima [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
TT mjanja sana hataki kumuachia Mendy aende Senegal, ety Mendy anaumwa meno [emoji23][emoji23][emoji23] anaogopa asije kwenda halafu avunjwe huko tushindwe kumfunga man City na kuchukua FA & UEFA
Wangapi wameenda timu ya taifa kwao???
 
TT mjanja sana hataki kumuachia Mendy aende Senegal, ety Mendy anaumwa meno 😂😂😂 anaogopa asije kwenda halafu avunjwe huko tushindwe kumfunga man City na kuchukua FA & UEFA
Kuna baadhi ya timu zitawazuia wachezaji wao kwenda international break hasa wale walio kwenye red list countries kama Brazil
Kwa nini?
Serikali ya Uingereza imeweka sheria ya Quarantine ya lazima ya siku 10 kwa raia yeyote anayeingia Uingereza na kupiga marufu kuingia Uingereza kutokea kwenye red list countries kama Brazil . Kwa hiyo Silva hataenda kabisa likizo ya International Break. Pia wachezaji wengine practically hawataenda kwa sababu Quarantine ya siku 10 ni nyingi sana kwenye football hasa la Uingereza. FIFA imeziruhusu klabu kuwazuia wachezaji wao kwenda International breka ikiwa nchi hizo zimeweka sheria ya quarantine ya siku 5 kwenda juu

Solution kwenye hizi bans, nchi zilizoadhirika ni lazima wahamishe mechi zao kwenda kwenye nchi ambazo hazijaadhirika, mfano ili Brazil waweze kuwatumia wachezaji wao walioko Uingereza itabidi mechi zao wahamishie kwenye neatral country kama walivyofanya kwenye mechi za Europa na UEFA

RED LIST COUNTRIES
  1. Angola
  2. Argentina
  3. Bolivia
  4. Botswana
  5. Brazil
  6. Burundi
  7. Cape Verde
  8. Chile
  9. Colombia
  10. Democratic Republic of the Congo
  11. Ecuador
  12. Eswatini
  13. Ethiopia
  14. French Guiana
  15. Guyana
  16. Lesotho
  17. Malawi
  18. Mozambique
  19. Namibia
  20. Oman
  21. Panama
  22. Paraguay
  23. Peru
  24. Qatar
  25. Rwanda
  26. Seychelles
  27. Somalia
  28. South Africa
  29. Suriname
  30. Tanzania
  31. United Arab Emirates (UAE)
  32. Uruguay
  33. Venezuela
  34. Zambia
  35. Zimbabwe
 
TT amuongelea Billy Gilmour kukosa nafasi za kucheza Chelsea akielezea Matatizo makubwa matatu ambayo ni
Ngolo Kante, Mateo Kovacic na Jorgninho kutopata majeraha na hawashuki viwango vyao

He has three big problems – N’Golo Kante, Mateo Kovacic and Jorginho are three big problems. They are never injured and they perform on a level in central midfield that is not easy to compete with
 
UCL Final in Istanbul
Predictions
Chelsea VS Bayern Munich
 
TUNAANZA KUTICK MKEKA.

Vs Sheffield United - (Chelsea WIN)
emoji3514.png


Vs West Brom - (Chelsea WIN)

Vs Crystal palace - (Chelsea WIN)

Vs Brighton - (Chelsea WIN)

Vs Westham utd - (Chelsea DRAW)

Vs Fulham - (Chelsea WIN)

Vs Man City - (Chelsea DRAW)

Vs Arse8 - (Chelsea WIN)

Vs Leicester city - (Chelsea WIN)

Vs Aston villa - (Chelsea WIN)
Points 23 hapo + 51 jumla 74, nafasi ya pili hiyo
 
The Blues nimefurahi sana tulivyojitahidi kushinda bila kuruhusu magoli/12 clean sheets.

Arse8 fc, Man U fc, Liverpool fc na mashabiki wa timu zingine waendelee kukaa kimya hivyo hivyo bila miwasho ktk uzi wetu wa Chelsea FC hata kama hawapendi maana kutesa kwa zamu.

Sent from my ONEPLUS A3010 using JamiiForums mobile app
 
Chilwell - Kante - Kovacic - James

Rudger- Christensen - Azipu

----------------- Mendy ---------------

Kwa upangaji huu wa wachezaji nyuma mpaka katikati game tunaishika, clean sheet tayari

Sterling vs James & Azipu

Silva/ Marhez vs Chilwell & Rudger

Jesus vs Christensen/Zouma ni RIP kwa Jesus

KDB tunamkabidhi binadamu mwenye moyo wa farasi Ngole Kante.

Kamanda Kova kama kawa kutembeza virungu vya miguu hapo katikati.

Kule mbe TT apange yeyote.

Mechi na city inaweza isha DRAW mshindi akapatikana kwa changamoto za PENATI (Kwa hatua kwenye FA & UCL)
Toa christensen weka Thiago silva huyu mwamba akiwa fit Hakuna mtu wakumuweka benchi
 
Bahati mbaya huwa simuamini PEP kwenye UCL, hata alipokuwa Barca na Bayern ni hivyo hivyo. Anaweza akatolewa na Dortmund au Bayern
Msimu huu Pep anapiga tofauti na misimu mingine. Amini nakuambia hawa kina Canceli na stones wamekuza viwango sana maana ndio waliokua wanamrudisha nyuma.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom