OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,932
- 25,245
Mkuu wachezaji wa PSG ni tofauti kabisa na wachezaji wetu kwanzia namna ya kufikiri kwao, mtizamo wao, kuna mambo mengi yanachangia timu kama ile isipate matokeo makubwa hasa kwenye UEFA. Mfano ustaa wa wachezaji wake, wengi tunajua PSG imesheheni mastaa wakubwa tu ..mfano naangalia Madirid ya akina David Beckham, zinedine, Ronaldo na mastaa wengine haikuweza kubeba UEFA kabisa japo ilikuwa imekamilika.Yaani TT alipokua anahojiwa baada ya game na ATM.
Alisema hakuna timu inayotaka kucheza nao kwa sasa na akasema kua timu yake haipaswi kumuogopa yoyote....
Hizi ni kauli nzito sn anatoa saizi huyu TT.
Na unajua wakati anakabidhiwa timu baada ya kufukuzwa Lampard malengo makuu aliyopewa TT ni kuhakikisha Chelsea inamaliza ndani ya top four kitu ambacho mpk saizi ameshafanikiwa....
Na kutokana na kikosi chake kua ktk form mzuri sasa tones imeanza kubadilika kutoka kwake yeye TT na wachezaji kwa ujumla. Wanataka makombe yaani wanataka kushinda FA na UEFA.
Swali linakuja kuuuuubwa kwamba je TT alishindwa kushinda UEFA akiwa na kina Mbape na Neymar je ataweza kuchukua kombe na hii squad ya Chelsea yenye wachezaji wa kawaida?????
Kazi kwetu wana Chelsea wenzangu nini maono yenu?
Wakati mwingine ili uweze ku win makombe siyo lazima uwe na wachezaji wote mastaa au wanaojua sana ..wakati mwingine ni kocha tu mwenye uwezo wa kuwaunganisha wachezaji na kuwaleta pamoja na kuhakikisha ana win mentality au/na mioyo yao ili kuwafanya wajihamini zaidi ..angali 2011 tunachukua UEFA mbele ya Bayern yenye kila resource nzuri kwanzia kipa hadi mbele uko ..tena ndani ya ardhi yao