Unazani Chelsea kama man u Chelsea akishashinda away usitegemee matokeo yatapinduliwa kwakeNyie wakata majani mnasemaje..mnaenda robo fainali?
ameumia mazoezn[emoji25]Naona Andy Christiansen hajapangwa Leo ktk kikosi wala ktk sub hayupo nini shida?
Yupo Rudiger, Zouma na Azpilicueta na James na Alonso
Dah jamaa alikuwa amezaliwa upya alikuwa poa Sana kwenye hizi game tulizomkosa thiago ...VP game unaionaje kulingana na selection iliyofanywa?Naona Andy Christiansen hajapangwa Leo ktk kikosi wala ktk sub hayupo nini shida?
Yupo Rudiger, Zouma na Azpilicueta na James na Alonso
Selection iko vzr maana ata ktk sub kaacha nguvu nzuri ya kuweza kusaidia na kubadilisha mchezo....Dah jamaa alikuwa amezaliwa upya alikuwa poa Sana kwenye hizi game tulizomkosa thiago ...VP game unaionaje kulingana na selection iliyofanywa?
Timu yenyewe imezidiwa kila kitu utasemaje inaonewaMmeamua kubebwa au siyo
Kuna penati imeminywa ila chelsea katawala uwanjaTimu yenyewe imezidiwa kila kitu utasemaje inaonewa
Fahamu zinaanza kukurudia taratibu.Kuna penati imeminywa ila chelsea katawala uwanja