Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Nilisema mmesajili flops mkabisha oooh ligi sijui bado ona sasa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Werner naye ni morata aliyechangamka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hakim zuchu is another flop in chelshit[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Timo Werner + £70m Watupe Haaland
Hiyo ndio deal ambalo Chelsea wanatengenezea Exchange Deal Proposal na Dortmund
 
Game la kwanza Mount aliwasumbua sana Atletico. Bila mount aisee sijui itakuaje, ukute anaemreplace mount ni Havertz legelege.
 
Game la kwanza Mount aliwasumbua sana Atletico. Bila mount aisee sijui itakuaje, ukute anaemreplace mount ni Havertz legelege.
Endapo havertz akimaintain kiwango chake kama cha mech 2 zilizopita anaweza wasumbua atl defenc yao

Ila nategemea kesho kumuona timo na giroud wakianza
 
Game la kwanza Mount aliwasumbua sana Atletico. Bila mount aisee sijui itakuaje, ukute anaemreplace mount ni Havertz legelege.
Huenda akampanga ziyech nyuma ya kina giroud na Timo kwenye 3-4-1-2.....Mzee Mbona havertz angalau kacheza fresh kwenye hyo POS ktk hizi games 2 zilizopita ..tofauti na tulivyokuwa tunamuona wkt anachezeshwa winger na lamps
 
Screenshot_20210316-000601_1615889335718.jpg
 
Endapo havertz akimaintain kiwango chake kama cha mech 2 zilizopita anaweza wasumbua atl defenc yao

Ila nategemea kesho kumuona timo na giroud wakianza
Mabadiliko ya kesho lazima Alonso na Giroud waanze, pia Werner na Odoi possibly ila mimi ningependelea Ziyech na Pulisic wangecheza, Pulisic acheze nafasi yake ya Kushoto na Ziyech kulia, mechi iliyopita walionyesha ubora wao unapanda, wakiachwa ndio tutawakosa kabisa msimu wa kiangazi, sub ziwe za Havertz, Werner na Odoi kwa mbele, pia Billy apewe muda kidogo mwishoni hali ikiwa nzuri
 
Huenda akampanga ziyech nyuma ya kina giroud na Timo kwenye 3-4-1-2.....Mzee Mbona havertz angalau kacheza fresh kwenye hyo POS ktk hizi games 2 zilizopita ..tofauti na tulivyokuwa tunamuona wkt anachezeshwa winger na lamps
Havertz kalegea sana.
 
Unajua kwa nini Tony hapa alikasirika kidogo ampige Suarez kichwa?
Suarez alimpapasa paja lake sijui alikuwa anatafuta nini huko


1615898730899.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom