Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Finishing haikuwa nzuri, tumeshindwa kufunga kwa set pieces wakati hawa Leeds ndio wanaongoza EPL kufungwa magoli ya set pieces. Angekuwepo Zouma leo tungepata angalau goli moja ya kona.
 
Dah DRAW kwa waliongalia mechi tupeni analysis why draw?
Mfumo haukua mzuri yaani hii 4+2+3+1 sio nzuri imewapa Leeds nafasi za kutusumbua na Chelsea pia hawakua na performance nzuri Leo karibu timu yote kwa ujumla....


Pia hawa wachezaji wawili Ziyenchi na Pulisic wamepewa nafasi ya kuanza na wamecheza dk karibu 70 lkn wamecheza hovyo kabisa tena nafuu ya Ziyench kuliko huyu Pulsic....


Nafikiri koncha ilibidi apange kikosi hichi kwsbbu ya kuangalia game inayokuja ya ATM.... Maana j5 anatakiwa kurudi ktk strong squad yake na mfumo wake....


Tulipaswa kushinda hii game lkn tumewapa west ham utd nafasi ya kutufikia km na kutupita km wakishinda game zote mbili
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom