Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

BBC TETESI ZA USAJILI

Chelsea inamnyatia winga wa Bayern Munich raia wa Ufaransa Kingsley Coman, 24, kama mwenye uwezekano wa kuchukua nafasi ya Christian Pulisic, wakati ambapo mchezaji huyo wa miaka, 22, raia wa Marekani ameonesha kuwa anataka kuondoka Stamford Bridge. (Mail)
Huyu Mbona naye km anaonekana pancha Tu km pulisic?
 
ABRAHAM hana msaada wowote aanze kupaki mabegi dirisha kubwa linamuhusu tunamuuza Newcastle United, tunamleta goal machine Haaland

Silva koti la babu halikosi chawa aendelee kupumzika bechi huku akiendelea kumpa mbinu za kiufundi Christensen
Hata kama Erling Haaland akinunuliwa, Abraham asiuzwe, atatufaa kesho bado ni mdogo na ana prospect kubwa akiweka juhudi, akina Salah, Debrune, Lukaku tuliwadharau hivi hivi baadaye wakaja kuwa mwiba kwetu kupitia rivals wetu wa ubingwa na top 4.
 
Predicted Line Up Leeds United VS Chelsea
1615624155300.png
 
Hiki ni kikosi kilichomfunga Leeds Bridge 3-1 under Lampard. Kama kwa mbinu zile kiduchu tuliweza kushinda naamini leo matokeo chanya yatakuwa upande wetu.

Let's go the BLUES

Chelsea fc - WIN




View attachment 1724393
Wakati ule Havertz na Mount wanachezeshwa nafasi tofauti na sasa. Na wakati ule Christensen alikuwa haonekani kabisa
 
Hiyo ni EPL tu, Kwa mashindano yote ni 12, 9 wins, 3 draws and 0 losses
Naam mkuu.


Nilisema hapa siku za nyuma kwamba Thomas Tuchel anaweza kumaliza ligi bila kufungwa ktk EPL na ninaona hii kauli inavyoenda kutimia
 
Kante anaweza asipangwe kwasababu ya game ya j'5 na A.Madrid
Game ya j5 viungo wa Chelsea waliyo na nafasi ya kucheza ktk huo mchezo ni Kante na Kovacic kwasbbu Jorginho yuko suspended kwa kua na kadi zinazomzuia kucheza. Ni Jorginho na Meson Mount hawa wako suspended....


Leo Jorginho lazima acheze dk 90 Kante na Kovacic watapokezana kucheza na km tutashinda goal nyingi mapema basi huenda Bill Gilmour akatupiwa uwanjani ili kuwapumzisha Kante na Kovacic kwa ajili ya game ya ATM....
 
Game ya j5 viungo wa Chelsea waliyo na nafasi ya kucheza ktk huo mchezo ni Kante na Kovacic kwasbbu Jorginho yuko suspended kwa kua na kadi zinazomzuia kucheza. Ni Jorginho na Meson Mount hawa wako suspended....


Leo Jorginho lazima acheze dk 90 Kante na Kovacic watapokezana kucheza na km tutashinda goal nyingi mapema basi huenda Bill Gilmour akatupiwa uwanjani ili kuwapumzisha Kante na Kovacic kwa ajili ya game ya ATM....
Billy hata bench hajawekwa
 
Kaamua aje na mfumo huo kwasababu kaona leeds aichezi counter attack game Bali wanacheza mpira wa kushambulia
Wachezaji wa mbele wakiwa clinical magoli ni mengi kwa sababu hawa Leeds wakati wanashambulia huwa wanajisahau na kuacha nafasi kwenye final third yao
 
Kaamua aje na mfumo huo kwasababu kaona leeds aichezi counter attack game Bali wanacheza mpira wa kushambulia
Kwa namna kikosi cha Leeds kilivopangwa na mfumo wanao cheza wa 4+1+3+1 maana yake ni kwamba Leeds watakua wanakabia juu km UTD walivyotusumbua sasa kwa hii 4+2+3+1 ya TT inatupa ulinzi wa kutosha na kutengeneza mashambulizi vzr sn kuanzia nyuma au kwa washambuliaji

Yaani kwa kifupi ni kwamba Chelsea Leo mpira wao utakua unatiririka kutoka kila mahali
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom