Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Save ya leo? Mendy bonge la kipa clean sheet ndio chakula chake. The blues kwa defensive tupo vizuri sana tatizo linabaki kule mbele tuu kwenye kupachika mabao kupata point 3 muhimu.
Quality saves kama 3, moja ya urefu angekuwepo Kepa hata kwenye ubora wake asingeweza kusave kwa sababu mpira ulidonolewa kwenye 90 degree angle ya juu ya goli ikagonga mwamba ikarudi uwanjani. Angekuwa Kepa futi za urefu zingekuwa limit kwake
 
Marhez yeye anaweza kukokota mpira sn lkn sio mzuri ktk pasi....

Ziyench ni mzuri ktk kutoa pass sn lkn hana uwezo mkubwa kukokota mpira km Marhez....


Mimi naona Ziyench akicheza ktk dimba la kati juu ya double six anakuwa na uwezo wa kutupa passes kokote kule
Hiyo nafasi unayopendekeza itabidi wapambanie na Mount kwa sababu TT amekuwa akimtumia hapo hasa kwenye mifumo ya 3-4-1-2 au 4-2-3-1
 
Viwango vya uchezaji wa wachezaji wa Chelsea dhidi ya Leeds United jana

Ngolo Kante mana of the match
Mendy kacheza vizuri sana
Ben Chillwel kaboronga
Hakim Ziyech kapotea japo katengeneza kama nafasi moja hivi iliyopotea bure
Pulisic Butu japo katengeneza nafasi kama mbili zilizopotea bure
Timo Werner kaingia na kukimbia kimbia tu bila impact yeyote
Reece James na Odoi walijitahidi kuleta impact kidogo sana

Ratings
  1. Edouard Mendy - 8/10
  2. César Azpilicueta - 7/10
  3. Andreas Christensen - 7.5/10
  4. Antonio Rüdiger - 7.5/10
  5. Ben Chilwell - 5/10
  6. N'Golo Kanté - 8.5/10
  7. Jorginho - 7.5/10
  8. Hakim Ziyech [69] - 5/10
  9. Mason Mount [79] - 6.5/10
  10. Christian Pulisic [68] - 6
  11. Kai Havertz - 6.5

Substitutes Ratings
  1. Reece James (Pulisic, 68’) 5/10
  2. Timo Werner (Ziyech, 68’) 4/10
  3. Callum Hudson-Odoi (Mount, 79’) 5/10
 
Kuna siku nilisema hapa Werner kapangwa namba 9 siku ya mechi na Everton lakini yeye akawa muda mwingi anacheza kushoto tu

Angalia TT alipokuwa anamkaripia Werner kuhusu hilo

During the Blues' victory over Everton on Monday night, Tuchel was caught during the first half of the game calling out Timo Werner in their native German for being out of position. He said: "Timo, how much longer do you play on the left? You play right. You've played left for 15 minutes. Do you not understand?"
 
TT amedai Havertz amalizii mipira kama anavyofanya kwenye mazoezi. Hapo anaelezea mechi dhidi ya Leeds United jana

“Kai, I feel him comfortable in high positions. I feel him comfortable to drop into half spaces from the high position to maybe turn, drive and use his speed. But he also arrives very naturally in the box and six-yard box.

“He is comfortable in finishing in our attacks. He can clear play as a No.9, half striker or as a winger. These are his positions and today we used him again as a No.9.

“I am happy but unfortunately he couldn’t finish like he does in training and how his talent allows him to finish because we had enough chances and created enough chances for him to be the decisive guy. He is comfortable in this position and I trust him in this position.”
 
Acha kumlinganisha mahrezna vitu vya kijinga.
Mahrez yupo vzr kwenye dribble, pass na kufunga.
Hakuna kitu ziyech anamfikia mahrez
 
1. Chilwell
2. Harvetz
3. Ziyech
4. Werner
5. Pulisic
6. Keppa

Ni wachezaji wazuri sana lakini sio wa hadhi ya club kubwa kama Chelsea yenye malengo ya kuchukua angalau kombe 1 kwa msimu.
Kuna mdau mmoja anaitwa juan david alishawahi kusema kuna wachezaji wazuri tu ila presure za timu kubwa hawaziwezi na ndio chanzo cha kucheza vibaya. Mmoja wa wachezaji hao ni Werner, Havertz, Ziyech nk
 
Acha kumlinganisha mahrezna vitu vya kijinga.
Mahrez yupo vzr kwenye dribble, pass na kufunga.
Hakuna kitu ziyech anamfikia mahrez
Hata Ziyech yuko vizuri kwenye pasi na kufunga, Mahrez kamzidi kwenye dribbling tu na Mahrez yuko kwenye mfumo uliokaa vizuri na pia ana uzoefu wa kutosha kwenye EPL wakati Ziyech ni mgeni kwenye EPL na kaikuta Chelsea ambayo bado ni kichwa cha mwenda wazimu kila kocha anaijaribu
 
Sawa Hadija kopa, bora ufunge bakuli tuu unaitabiriaga mabaya Chelsea mwisho wa siku unaumbuka vibaya.

Ulishawahi kusema Chelsea itashuka daraja chini la Lampard, wanaume tunaingia UCL nyie mkaenda usiku wa send off kuolewa.

The BLUES chama kubwa la kupambania ubingwa EPL & UCL sio kupambania kushiriki Europa.

Never cross us, we'will make you target.
huko ucl mkapigwa 7.. jiandae msimu huu kutoka kapa tena
135122975_215819130194229_7906400108819197675_n.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom