Timu yetu ya chelsea inakosa number 9 yenye kiu na magoli tu
Timu yetu ya chelsea inakosa number 9 yenye kiu na magoli tu
Huyu kocha nae ana mapungufu yake, anamkosea sana Captain America kwa kumng'ang'ania huyo mjerumani mwenzie. Manina
Kitulize we mang'aa, wewe si ndio ulikua unamteteaga mmeo Lampard.Hii timu ilitakiwa iwe inafukuzane na City kule juu na pengine kuwa juu ya City kama TT angekuwepo tangu mwanzo wa msimu
Bado tuna kikosi kipana Kati atacheza kante na Kovacic mbele anaweza kucheza Ziyech au Kai?Chelsea kuwakosa Jorghinho na Mount ktk game yao ya mardiano na ATM.
Nini mawazo yenu wanadau kutokana na hili?
Nikwel kabisa maana kovacic akicheza kwakwel mashambulizi yanakuaga yakutosha sana bado tu hatujapata watu wakujaribu kupiga mashuti ya mbali kidogoBado tuna kikosi kipana Kati atacheza kante na Kovacic mbele anaweza kucheza Ziyech au Kai?
Hii ndio shida ya Chelsea,hakuna mtu wa kupiga mashuti kama enzi za Drogba na Costa,Nikwel kabisa maana kovacic akicheza kwakwel mashambulizi yanakuaga yakutosha sana bado tu hatujapata watu wakujaribu kupiga mashuti ya mbali kidogo
makosa n kwamba hakua anacheza sehem sahihi nw TT amejua sehem sahihi yuke n typ ya kina muller ananusa sehem za atar ukmchezesha mbal na box la wapnzan uez ona uwezo wake yule either 10 or false 9 ndo anakua better sasa FL alkua anampanga winger au 8[emoji43]Performance ya siku moja isirekebishe makosa yaliyopita
Kuna wachezaji wengine huw pressure za tim kubwa huwa hawaziweziNimeamini kuwa anayesababisha mchezaji aflop ni kocha,
Jesse Lingard mpaka akatungiwa majina ya ajabu ajabu kule kwa OGS lakini sasa kwa Moyes amekuwa mwiba wa hatari
Hahaaaha! Mkuu ushatimba kuwachangamsha! Ebu wacha wanenepe kidogoNyie viumbe wazima wote?
London is red
Hiyo ni EPL tu, Kwa mashindano yote ni 12, 9 wins, 3 draws and 0 lossesThomas TuchelView attachment 1723823