Kweli chief hata mi nimeona 😀...utaendelea kuhamahama mbuga kama nyumbuSioni mkipona leo Everton wapo full mziki [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1720392
Mbona kacheza vizuri chiefUwepo wa Kai Naona timu ipo pungufu
Unapiga ramli mpka lin???Sioni mkipona leo Everton wapo full mziki [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1720392
Everton anapiga mtu mbili kwa moja [emoji41]
Ukweli ni huu, watakaoadhirika kule nyuma ni Rudiger na Zouma kwa form nzuri aliyonayo Christensen, huyu jamaa sio mzuri tu kwenye kukaba hata kwenye kupasi, mzuri na mtamu mno kwenye penetration passes.
Pia Alonso kule mbele amemuacha mbali sana Ben Chilwell, yaani Alonso alifaa angekuwaga tu ni Winga, anajua kutime mpira na kushambulia
Kweli chief hata mi nimeona [emoji3]...utaendelea kuhamahama mbuga kama nyumbu
Everton anapiga mtu mbili kwa moja [emoji41]
Rudiger hachezi nafasi moja na Adrea Christiansen... Christiansen anacheza nafasi moja na Silva. Yaani ni beki wa kati ktk hao watatu.Ukweli ni huu, watakaoadhirika kule nyuma ni Rudiger na Zouma kwa form nzuri aliyonayo Christensen, huyu jamaa sio mzuri tu kwenye kukaba hata kwenye kupasi, mzuri na mtamu mno kwenye penetration passes.
Pia Alonso kule mbele amemuacha mbali sana Ben Chilwell, yaani Alonso alifaa angekuwaga tu ni Winga, anajua kutime mpira na kushambulia
[emoji16][emoji16]bado2 au saiv unaona imejaaUwepo wa Kai Naona timu ipo pungufu
Yani huyo ndo anadhibitisha ilo jina kabisa [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kweli chief hata mi nimeona [emoji3]...utaendelea kuhamahama mbuga kama nyumbu
Mkorea wa malambamawili bado upo honeymoonDear Tuchel[emoji2297][emoji174]
Honeymoon is over
Next 6 Games
Atletico (A)......[emoji777]
Man Utd (H). [emoji777]
Liverpool (A). [emoji777]
Everton (H). [emoji777]
Leeds (A). [emoji777]
Atletico (H). [emoji777] Then out of champions league
Performance ya siku moja isirekebishe makosa yaliyopita[emoji16][emoji16]bado2 au saiv unaona imejaa
Silva anacheza kati na pembeni, kuna uwezekano Silva akirudi kwenye fitness atacheza pembeni kushoto na Christansen akabakia katikati na Azpi akaendelea kucheza kulia, sasa Zouma na Rudiger watakuwa na muda mchache sana na bahati mbaya CB huwa hawabadilishwi mara kwa mara kama viungo na washambuliajiRudiger hachezi nafasi moja na Adrea Christiansen... Christiansen anacheza nafasi moja na Silva. Yaani ni beki wa kati ktk hao watatu.
Sema Zuma kuna wakati hua anacheza ktk beki wa kati kwa mabeki watatu. Ingawa ata kucheza pembeni kwa mabeki watatu Zuma anacheza km alivyocheza Leo.
Kwahiyo Christiansen lazima awe anapokezana na Silva. Kwahiyo kina Rudiger, Zuma wala hawato athirika. Maana kwa sasa TT anatengeneza kikosi kipana ili kuwapa nafasi wachezaji wote kucheza. Maana kwa Ratiba ilivyo yaani kila baada ya siku 4 unacheza game wachezaji wanachoka sana na kwa maana hiyo basi lazima upumzishe wachezaji na kuwapa nafasi wote ya kucheza ili kupata matokeo mazuri.
Emerson na Gilmour hawa ndio nafasi zao zitakua za shida.
Next game Kante Atapumzishwa km Leo na Babu Azpilicueta ataanzia benchi kwa ajili ya kukusanya nguvu dhidi ya ATM.... Christiansen na Rudiger wote hawa Watapumzishwa.