Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Tuchel sio Lampard Ni kocha ambaye kimbinu yupo vizuri na anajua kutumia wachezaji waliopo vizuri alafu kumbuka tupo darajani nakushauri mzigo wako wake chelsea Kama unataka kupiga pesa usije baadae ukajuta
United ni miongoni mwa timu zinazofanya vizuri ugenini.

Lampard hakumtaka Kai, Werner, Sarr na Silva ndiyo maana alikua anawajaribu kila mahali, same kwa Tuchel kafika tu karesort kwenye 3 4 3 means bado hajajua Kai amuingizeje kwenye mfumo.

Ila nitabet kwenye live pia nikiona sielewi.
 
Twende na 343 vs Nyumbu.

Werner - Giroud - Mount

Chilwell - Joginho - Kovacic - James

Rudger - Christensen - Azipu

Kumpanga Chilwell na James ni kumdhibiti yule kichwa panzi wao anayekosa magoli ya wazi anayejifanya ana mbio.

Kwa James hatafurukuta, atahamia upande wa kushoto akapambane na Chilwell.

Katikati sina shaka nako Joginho + Kovacic watameza kiungo yao kule mbele wabaki wanatapatapa bila P.o BOX.

Hii mechi ni DRAW, beki zao zikijichanganya tuu tunashida mechi
Drow hiyo ya kitanda au ya kabati?
Kesho tunakuja hapo tukiwa na hali ya ushindi, hivyo tegemea maumivu.

Kesho, beki ya kati itaongozwa na Bailey hivyo usitegegemee kupata goli hata moja.

Kuhusu Cavani lazima apasie nyavu labda kama mabeki mutawapanga saba.

Nawahakikishieni msimu huu big4 mutaisikia kwenye radio tu.
 
Tichel anaweza kuwatumia OG na TW kama strikers na Mount kama CAM kwenye mfumo wa 3-4-1-2
sub zitakazotumika ni Kante, Kai na Ziyech. Ziyech akiingia atabadili mfumo kuwa 3-4-3 au 3-4-2-1
 
Drow hiyo ya kitanda au ya kabati?
Kesho tunakuja hapo tukiwa na hali ya ushindi, hivyo tegemea maumivu.

Kesho, beki ya kati itaongozwa na Bailey hivyo usitegegemee kupata goli hata moja.

Kuhusu Cavani lazima apasie nyavu labda kama mabeki mutawapanga saba.

Nawahakikishieni msimu huu big4 mutaisikia kwenye radio tu.
wee unawajua majeruhi wa nyumbu united au unajisemea tu
 
Drow hiyo ya kitanda au ya kabati?
Kesho tunakuja hapo tukiwa na hali ya ushindi, hivyo tegemea maumivu.

Kesho, beki ya kati itaongozwa na Bailey hivyo usitegegemee kupata goli hata moja.

Kuhusu Cavani lazima apasie nyavu labda kama mabeki mutawapanga saba.

Nawahakikishieni msimu huu big4 mutaisikia kwenye radio tu.
Jiandae kisaikolojia kuwa embarrassed
 
Chelsea are winless in the Premier League against Man United since November 2017.
 
Twende na 343 vs Nyumbu.

Werner - Giroud - Mount

Chilwell - Joginho - Kovacic - James

Rudger - Christensen - Azipu

Kumpanga Chilwell na James ni kumdhibiti yule kichwa panzi wao anayekosa magoli ya wazi anayejifanya ana mbio.

Kwa James hatafurukuta, atahamia upande wa kushoto akapambane na Chilwell.

Kule kwa James hakitapita kitu, sana sana mashambulizi yetu yatatokea upande huo

Katikati sina shaka nako Joginho + Kovacic watameza kiungo yao kule mbele wabaki wanatapatapa bila P.o BOX.

Hii mechi ni DRAW, ijapokuwa foward yetu ni butu ila beki zao zikijichanganya tuu tunashida mechi
Umeona walichokua Chelsea wana train ktk siku mbili hizi hapo Cobham's?


Wametrain sn kufunga yaani walikua wanajifunza kucheza pasi fupi fupi wakiwa ktk mita 20 hivi ktk lango na kufunga. Keppe na Mendy wamepata tabu sn. Maana yamepigwa mashuti ni balaa. Kina Kante wamekaba sn na kina Tammy, Giroud, Timo wamescore sn.


Hili ndio eneo amabalo Tuchel anafanyia kz sasaivi.


Maana ktk upende wa Ulinzi yuko vzr. Upande wa viungo yuko vzr. Upande wa kumiliki mpira yuko vzr sasa wamebakiza eneo hilo tu wanalifanyia kz.
 
Drow hiyo ya kitanda au ya kabati?
Kesho tunakuja hapo tukiwa na hali ya ushindi, hivyo tegemea maumivu.

Kesho, beki ya kati itaongozwa na Bailey hivyo usitegegemee kupata goli hata moja.

Kuhusu Cavani lazima apasie nyavu labda kama mabeki mutawapanga saba.

Nawahakikishieni msimu huu big4 mutaisikia kwenye radio tu.
Ole mwenyewe anakili kua ni ngumu kucheza na Chelsea kwa sasa kutokana na wanavyocheza na wanavomiliki mpira. Hivo kz yake ni kutafuta mbinu kuweza kupata matokeo positive.


Sasa wewe unawachukulia Chelsea poa wakati manager wako ana wenge kichwani anaumiza kichwa aende na mfumo gani?


Na kwa taarifa yako ni kwamba UTD atakuja na approach ya kukaba sana na kutumia counter attacks kwa kutegemea uwezo wa kukimbia wachezaji wake Marital, Marcus Rashidi, Bruno na Greenwood. Atatumia counter sn kuliko vingine maana utd ndio timu inatumia counter sn.


Sasa jiulize Spurs na Mourinho ndio mafundi wa Counter lkn Tuchel alienda pale na kuhakikisha hawapigi counter ata moja. Na kweli Spurs hawakufanya Counter ata moja. Sasa kz kwenu
 
Na 2017 ndio ilikuwa mara ya mwisho kubeba kombe la EPL under Antony Conte.

Naimani under TT tutarudi katika ubora wetu wa mwendelezo bora wa kubeba angalau kikombe kimoja kwa msimu.

Kwa sasa Mwelekeo wa matumizi sahihi ya wachezaji unaonekana, madhaifu yanaonekana waziwazi kwenye eneo la ushambuliaji.

TT aletewe haaland tuu ikiwezekana + sancho na Eriksen.

--------------- Haaland -----------------

Werner---- Eriksen ---- Sancho

----------Joginho - Kovacic--------
Haaland sawa ila Eriksen for mount au Sancho for Ziyech or Odoi no, hawataleta kitu tofauti badala yake tutamuongezea kocha maumivu ya kichwa kwenye kupanga timu. Mount anatosha hadi pale tutakapompata CAM wa level ya Fabregas
 
Tuchel adai labda mfumo wa kuposses mpira ndio unaomfanya Werner asicheze vizuri kwa sababu kwa style yake ya uchezaji na kasi aliyonayo anafaa counter attack football. Hope atayafanyia kazi hayo mawazo ili Werner aanze kufunga magoli
 
Naomba tuchel leo aweke hiki kikosi katika mfumo huu

1614494576032.png
 
Majirani wa North London hakuko shwari. MOU kutimuliwa wakati wowote na Rogers au Nagelsmann kumrithi
 
Nilishawahi kusema hapa kuna wachezaji wabovu waliokuwa wana shine kwenye kikosi, mbinu na mfumo mbovu wa Lampard.

Uwezo wa TT kimbinu na kimfumo ni mkubwa sana, wachezaji wenye vipaji, ubunifu, nguvu na kasi ndio wataingia kwenye style ya soka analotaka TT.

Kuna wachezaji tunaowaona wazuri kwa sasa nawahakikishia hawatapata namba kwenye kikosi cha TT msimu ujao, watauzwa au kutolewa mkopo. Believe that

Time will tell.
Nikuambie kitu, Tuchel ni binadamu na ana madhaifu tu saa nyingine hata kumzidi Lampard. Bado anao upendeleo wa waziwazi na huo upendeleo ni bomu ikijaa timu itaanza kufanya vibaya na baadaye mambo ya kutimuana inaanza. Alipokuja alidai atawapa wachezaji wote fursa sawa ila mpaka sasa kuna wachezaji wamekaa tu hatujui kama ni wazuri au la. Mfano Gilmour, Benchilwell, Pulisic na Ziyech huku Werner kacheza mechi zote tangu aje lakini bado mimi naona papara tu anapokuwa na mpira. Angewapa muda wa kutosha pia akina ZIyech, Pulisic, Benchilwell, Billy Gilmour, Kanmte mpaka sasa anamsifia tu lakini hana mpango wa kumtumia japo naamini combi ya Kovacic na Jorginho kwa sasa inafanya vizuri.
Kwa amelezo haya sina maana simuamini TT ila pia nasita kumpa sifa zote kwa sababu hajaenda na timu mbali, ni mechi nane tu na katika mechi hizo udhaifu mkubwa kwa sasa umebakia kwenye washambuliaji
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom