Petr Cech akiwa anaondoka Arsenal alisema "Chelsea ina fighting spirit kubwa, timu ikipoteza mchezo ukiingia dressing room inakua ni kama kuna msiba, hua tunakua kimya. Ila Arsenal watu hucheka na huongea kama kawaida"
Chelsea ilifikiri inafungwa kisa Kepa, timu zimeshamiliki mapazia zaidi ya Kepa lakini hayo mapazia yalionekana yanajua mfano Valdes akiwa Barca. Naamini Mendy hatofikia rekodi ya Kepa akiwa Chelsea, Kepa ana stats nzuri, Mendy kashasahau kutamka neno clean sheet.
Ingawa Lampard hua anawatupia lawama wachezaji wake ila na yeye ajiangalie.
Veteran wa 4 3 3, Guardiola, kaabandon huo mfumo siku hizi anatumia 4 2 3 1. Klopp bado anautumia na unaona kinachotokea, possession kubwa, shots off target nyingi yet hawawezi create chances. Hii formation inataka attacking fullbacks wawe kama Trent wa msimu uliopita, na timu zisikujue kama msimu uliopita.
Timu zenye fullbacks wa kariba hiyo, Arsenal's Tierney, Brighton's Lamptey, Milan's Hakimi, Bayern's Davies hazichezi 4 3 3. Hii ilitakiwa iwashtue wakina Lampard ila jamaa bado, anaamini hii formation ndiyo muarobaini anaamini Werner ni mzuri akiwa lone striker au akiwa LW, Havertz akimuweka wide n.k. ila kaomba 200M nyingine ya usajili so msijali anaweza akageuza hii drama ya kutofunga timu za kuanzia wapi hadi wapi sijui.