Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mmeamkaje humu jaman wafiwa
20210103_230211.jpeg
 
CHELSEA 1-3 MANCHESTER CITY, Premier League: Post-match reaction, ratings.

By Mlanzi

Siku nzuri zitakuja! Kufungwa ni Moja ya Matokeo Matatu katika soccer..!!

Tuache hayo!..! Kuna Muda najiuliza! Je? Hatukusajili vizuri ama tatizo ni huyu KOCHA? Anyway Whatever the reason Chelsea tumeyumba vibaya huku big clubs ziki- recover mala baada ya kuanza vibaya Msimu.

Nikiutazama usaji tulioufanya, nikimtazama Mwamba Thiago Silva, nikimcheck Edouard Mendy, nikimchabo Timo Werner napata kigugumizi kuamini hiki kinachotokea. Yes! Man City walikuwa kwenye mood sawa, Yes! Kevin de Bruyne na wenzake walikuwa kwenye form but how come tumeshindwa kupindua Meza huku tukiwa na Christian Mate Pulisic uwanjani na kwenye bench tukiwa na Oliver Jonathan Girou!.?

Anyway! Dakika 20 za kipindi cha kwanza zilikuwa mwiba kwa upande wetu. City walituumiza vibaya mara mbili ndani ya hizo dakika 20 na wakaongeza bao la tatu kabla ya half-time. Dah! Frank Lampard utatuuwa.

Second half haikuwa mbaya kwetu na nasema haikuwa mbaya kutokana na kwamba hatukuruhusu bao Jingine. Kama haitoshi tulifanikiwa kutengeneza chance moja iliyozaa bao pekee lililofungwa na Callum Hudson-Odoi dakika ya 90+2 assist ikitengenezwa na Kai Lukas Havertz.

Wengi watakubaliana na Mimi kuwa Starting lineup iliyokuwa uwanjani ni lineup nzuri kabisa katika kikosi chetu. Ni jambo jema kumuona Hakim Ziyech akianza, huku Timo Werner akicheza kwenye position yake.

Subs zetu zilikuwa nzuri vile vile! Ambapo Callum Hudson-Odoi aliingia upande wa Hakim Ziyech, Billy Clifford Gilmour upande wa N'golo Kanté. Kai Lukas Havertz aliingia upande wa Mateo Kovačić na Team ikaanza kucheza ikitumia Formation ya 4-3-3. Inauma sana but siku nzuri zitakuja tu.

Chelsea imeruhusu mabao matatu ikiwa nyumbani katika Premier League ikiwa ni mara ya pili. Mara ya mwisho ilikuwa 3-1 dhidi ya Burnley mwanzoni mwa msimu wa 2017-18. Chelsea tunashuka mpaka nafasi ya saba katika msimamo wa League na kunauwezekano tukashuka mpaka nafasu ya kumi ama zaidi ya hapo.

Next up: tutawakaribisha Morecambe FC kwenye FA Cup Juma Pili Ijayo alafu Fulham away Ijumaa itakayofuata

KTBFFH
 
CHELSEA 1-3 MANCHESTER CITY, Premier League: Post-match reaction, ratings.

By Mlanzi

Siku nzuri zitakuja! Kufungwa ni Moja ya Matokeo Matatu katika soccer..!!

Tuache hayo!..! Kuna Muda najiuliza! Je? Hatukusajili vizuri ama tatizo ni huyu KOCHA? Anyway Whatever the reason Chelsea tumeyumba vibaya huku big clubs ziki- recover mala baada ya kuanza vibaya Msimu.

Nikiutazama usaji tulioufanya, nikimtazama Mwamba Thiago Silva, nikimcheck Edouard Mendy, nikimchabo Timo Werner napata kigugumizi kuamini hiki kinachotokea. Yes! Man City walikuwa kwenye mood sawa, Yes! Kevin de Bruyne na wenzake walikuwa kwenye form but how come tumeshindwa kupindua Meza huku tukiwa na Christian Mate Pulisic uwanjani na kwenye bench tukiwa na Oliver Jonathan Girou!.?

Anyway! Dakika 20 za kipindi cha kwanza zilikuwa mwiba kwa upande wetu. City walituumiza vibaya mara mbili ndani ya hizo dakika 20 na wakaongeza bao la tatu kabla ya half-time. Dah! Frank Lampard utatuuwa.

Second half haikuwa mbaya kwetu na nasema haikuwa mbaya kutokana na kwamba hatukuruhusu bao Jingine. Kama haitoshi tulifanikiwa kutengeneza chance moja iliyozaa bao pekee lililofungwa na Callum Hudson-Odoi dakika ya 90+2 assist ikitengenezwa na Kai Lukas Havertz.

Wengi watakubaliana na Mimi kuwa Starting lineup iliyokuwa uwanjani ni lineup nzuri kabisa katika kikosi chetu. Ni jambo jema kumuona Hakim Ziyech akianza, huku Timo Werner akicheza kwenye position yake.

Subs zetu zilikuwa nzuri vile vile! Ambapo Callum Hudson-Odoi aliingia upande wa Hakim Ziyech, Billy Clifford Gilmour upande wa N'golo Kanté. Kai Lukas Havertz aliingia upande wa Mateo Kovačić na Team ikaanza kucheza ikitumia Formation ya 4-3-3. Inauma sana but siku nzuri zitakuja tu.

Chelsea imeruhusu mabao matatu ikiwa nyumbani katika Premier League ikiwa ni mara ya pili. Mara ya mwisho ilikuwa 3-1 dhidi ya Burnley mwanzoni mwa msimu wa 2017-18. Chelsea tunashuka mpaka nafasi ya saba katika msimamo wa League na kunauwezekano tukashuka mpaka nafasu ya kumi ama zaidi ya hapo.

Next up: tutawakaribisha Morecambe FC kwenye FA Cup Juma Pili Ijayo alafu Fulham away Ijumaa itakayofuata

KTBFFH
Unaongea km hujui matatzo ya timu yko
 
CHELSEA 1-3 MANCHESTER CITY, Premier League: Post-match reaction, ratings.

By Mlanzi

Siku nzuri zitakuja! Kufungwa ni Moja ya Matokeo Matatu katika soccer..!!

Tuache hayo!..! Kuna Muda najiuliza! Je? Hatukusajili vizuri ama tatizo ni huyu KOCHA? Anyway Whatever the reason Chelsea tumeyumba vibaya huku big clubs ziki- recover mala baada ya kuanza vibaya Msimu.

Nikiutazama usaji tulioufanya, nikimtazama Mwamba Thiago Silva, nikimcheck Edouard Mendy, nikimchabo Timo Werner napata kigugumizi kuamini hiki kinachotokea. Yes! Man City walikuwa kwenye mood sawa, Yes! Kevin de Bruyne na wenzake walikuwa kwenye form but how come tumeshindwa kupindua Meza huku tukiwa na Christian Mate Pulisic uwanjani na kwenye bench tukiwa na Oliver Jonathan Girou!.?

Anyway! Dakika 20 za kipindi cha kwanza zilikuwa mwiba kwa upande wetu. City walituumiza vibaya mara mbili ndani ya hizo dakika 20 na wakaongeza bao la tatu kabla ya half-time. Dah! Frank Lampard utatuuwa.

Second half haikuwa mbaya kwetu na nasema haikuwa mbaya kutokana na kwamba hatukuruhusu bao Jingine. Kama haitoshi tulifanikiwa kutengeneza chance moja iliyozaa bao pekee lililofungwa na Callum Hudson-Odoi dakika ya 90+2 assist ikitengenezwa na Kai Lukas Havertz.

Wengi watakubaliana na Mimi kuwa Starting lineup iliyokuwa uwanjani ni lineup nzuri kabisa katika kikosi chetu. Ni jambo jema kumuona Hakim Ziyech akianza, huku Timo Werner akicheza kwenye position yake.

Subs zetu zilikuwa nzuri vile vile! Ambapo Callum Hudson-Odoi aliingia upande wa Hakim Ziyech, Billy Clifford Gilmour upande wa N'golo Kanté. Kai Lukas Havertz aliingia upande wa Mateo Kovačić na Team ikaanza kucheza ikitumia Formation ya 4-3-3. Inauma sana but siku nzuri zitakuja tu.

Chelsea imeruhusu mabao matatu ikiwa nyumbani katika Premier League ikiwa ni mara ya pili. Mara ya mwisho ilikuwa 3-1 dhidi ya Burnley mwanzoni mwa msimu wa 2017-18. Chelsea tunashuka mpaka nafasi ya saba katika msimamo wa League na kunauwezekano tukashuka mpaka nafasu ya kumi ama zaidi ya hapo.

Next up: tutawakaribisha Morecambe FC kwenye FA Cup Juma Pili Ijayo alafu Fulham away Ijumaa itakayofuata

KTBFFH
Usijitoe fahamu,wewe uwe nafasi ya 7 na Villa wawe nafasi ya ngapi?
Wewe upo nafasi ya 8 na leo Southampton akitoa sare au kushinda anakupeleka ya 9, na game ijayo Arsenal akishinda anazidi kukudidimiza huko machokoroni,

Au nadanganya ndugu zangu?

Mi5 tena.
Lampard oye
 
Upumbafu wa Lampard anaishi kwa kukariri mifumo.Ligi ya uingereza huwezi kutumia mfumo mmoja kwa kila timu unayokutana nayo ujue utashusha timu daraja.Arteta ni mbovu lakini hakubali kuishi na mfumo mmoja kila game na anakubali kubadilika haraka.
Kwa sasa arteta amebadilika kuanzia yeye hadi wachezaji na ligi hii ilivyo ya ovyo timu unayoidharau ikibadilika inaweza shika usukani hata kama haibebi kombe.

Man city wanaenda kuongoza ligi hata man u na hali mbaya waliyokuwa nayo wapo juu kwa sasa ila wakivurunda game mbili tu utawakuta huko chini na westbrom hivyo lampard abadilike mifumo yake ni ya hovyo haifai kwa kila timu kama anavyodhani yeye.

Pia ndani ya klabu inaonekana pia kuna shida imefichama ni kubwa.
 
Chelsea Mungu awalaani Asee sio kwa mkeka huu naomba mbakie kwa hiyo nafasi yenu yaani hata top four msiione
IMG_20210104_120252.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom