Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

IMG_0218.jpg

Tujikumbushe kidogo matukio ya Mende
 
Jamani msione wana Chelsea hawapatikani humu nasikia alfajiri ya Leo wakiongozwa na Olachunga wamepanda basi kuelekea London kushinikiza Lampard afukuzwe!
 
Chelsea wanacheza legelege, hawana motivation, uwezo wa wachezaji ni mkubwa sana, yawezekana kuna mgomo baridi, bodi ifanye maamuzi haraka
 
Chelsea wanacheza legelege, hawana motivation, uwezo wa wachezaji ni mkubwa sana, yawezekana kuna mgomo baridi, bodi ifanye maamuzi haraka
Inasemekana kwenye baadhi ya source bodi wamefanya kikao kudiscuss issue ya lamps na wamessuggest potential replacements
 
Morale ya wachezaj ipo down, kwaio wachezaji wabembelezwe na kocha!!

Ile mibaba mizima (ukimtoa mount na kai) yakuambiwa kwamba inabid tupambane hadi tone la mwisho la damu, wao hawalijui hilo!!!

Mnaosema lampard hana mbinu, au uwezo mdogo
Mnaikumbuka ile Chelsea aliyo achiwa hadi akatoboa top4. Au mlikua bado hamjaanza kufatilia mpira!!!


Sisi kama mashabiki wa arsenal tunataka lampard apewe muda na asipingwe
 
Mpira ni kutesa kwa zamu. Leo hii wale tuliyokuwa tukiwakejeli sasa wanatucheka.

Arsenal iliyokuwa ilipitia wakati mgumu sasa wako on fire wakicheka adi meno yote 32 yako nje.

Naamini Timu yangu pendwa Chelsea itakuja soon na wachezaji naamini watakuwa on fire.

Comeonechelsea2021
 
Mpira ni kutesa kwa zamu. Leo hii wale tuliyokuwa tukiwakejeli sasa wanatucheka.

Arsenal iliyokuwa ilipitia wakati mgumu sasa wako on fire wakicheka adi meno yote 32 yako nje.

Naamini Timu yangu pendwa Chelsea itakuja soon na wachezaji naamini watakuwa on fire.

Comeonechelsea2021
Kuimba kupokezana

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Usiwe mjinga weweee! aseno kashinda mechi tatu tu ndio usema yuko moto?
Huo tunaita upepo wa kisurisuri utapita na watarudi walipo toka.
Subiri mechi ijayo utaamini maneno yangu.
Mpira ni kutesa kwa zamu. Leo hii wale tuliyokuwa tukiwakejeli sasa wanatucheka.

Arsenal iliyokuwa ilipitia wakati mgumu sasa wako on fire wakicheka adi meno yote 32 yako nje.

Naamini Timu yangu pendwa Chelsea itakuja soon na wachezaji naamini watakuwa on fire.

Comeonechelsea2021
 
Usiwe mjinga weweee! aseno kashinda mechi tatu tu ndio usema yuko moto?
Huo tunaita upepo wa kisurisuri utapita na watarudi walipo toka.
Subiri mechi ijayo utaamini maneno yangu.
Arsenal walikufanya nini mkuu?, pongeza panapo stahili. Usihifadhi sana chuki, sio nzuri kiafya.
 
Arsenal walikufanya nini mkuu?, pongeza panapo stahili. Usihifadhi sana chuki, sio nzuri kiafya.
Huyo jamaa kila akitukumbuka arsenal tulichomfanya anaweweseka Sana.... Maumivu hayajapoa.... Achana naye

#COYG
#COYG
 
Morale ya wachezaj ipo down, kwaio wachezaji wabembelezwe na kocha!!

Ile mibaba mizima (ukimtoa mount na kai) yakuambiwa kwamba inabid tupambane hadi tone la mwisho la damu, wao hawalijui hilo!!!

Mnaosema lampard hana mbinu, au uwezo mdogo
Mnaikumbuka ile Chelsea aliyo achiwa hadi akatoboa top4. Au mlikua bado hamjaanza kufatilia mpira!!!


Sisi kama mashabiki wa arsenal tunataka lampard apewe muda na asipingwe
Chelsea aliyoachiwa ilikuwa mabingwa wa Europa na F. A..

Chelsea aliyoachiwa ilikuwa na Willian, Pedro, Kante, Rudiger , Giroud na wengineo.. aliyekosekana wa maana ni hazard tuu


Unataka useme aliachiwa timu mbovu ? Wakati yeye alimpata Pulisic hapo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom