Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Wazee wa lawama hao. Kocha kapanga timu nzuri tumezidiwa mbinu za kimchezo katikati ya kipindi cha kwanza. Na wenzetu wamefanya conversation ya mistakes into goals.
Kipindi cha kwanza sijaangalia, ila najua mistakes ni kutokana na no motivation kwa wachezaji, kucheza legelege. Nimeona second half akina Kante na Kovacic walikuwa na makosa ya kijinga kama walikuwa hivyo first half tulistahili kufungwa. Werner kazoea kucheza kama wide winger, no 9 hajazoea na hivyo kutokaa kwenye position. ANgekuwa hapo Tammy au Giroud magoli yangeingia
 
Sasa nimeamini tatizo sio wachezaji, hata akina Werner na Havertz kudorora, tatizo ni uwezo wa kocha. Lampard aliwahishwa EPL mno, angebaki kwanza Championship ili apate uzoefu huko

Meseji kutoka BBC.COM, Match of The Day:

From CH in Warwick:
Looking at Timo Werner, you'd have to think that there are a number of other, more experienced, managers in the Premier League who would have known what to do with him. From here, it looks as though Lampard doesn't and I feel for Werner as a result.

From Steve in Kent:
SMS Message: As a player he was one of the best, and by all accounts he's a great guy, he's not really that bad a manager but recently Frank's management nouse I can only compare to that of a 17 year old who has just passed their driving test and then is given a formula one racing car to drive.
 
Tusamehe mkuu 😂😂😂

images.jpeg
 
Lampard akili zake dah....!
 
Lile pepo la kufungwa la Arsenal limetua darajani ni mkosi kwenda mbele
 
Mmejitahidi Sana kupunguza idadi ya magoli. Nilijua Mtakula kumi leo
BY the way, hongereni kwa kupigwa KIPIGO HIMILIVU hata ukitaja mbele za watu umebugia tatu bila zinahimilika kuliko mngebugia week kama wale wapumbavu waliobugizwa na A.Villa


#COYG
#COYG
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom