Mi mzee 😉Dah. Umezeeka tayari
Huwa tunawashambulia wachezaji buree, ila tatizo ni kocha. ata angeingia huyo OG bado tungemuona anarukaruka tu. Nilishasema hapa ata waje akina mesi timu nzima kocha akiwa lampard tutawaona hawajui.Kama kawaida yake kachelewa kufanya sub na kamweka bench OG
Unjua kuuliza kinafikiHaha Kwanini Boss?
Hahahahaaaa....mi,echeka bila kupenda kwa hili dongo letu washabiki wa Chelsea FCReporter: say something boss
Lampard: nipewe mudaView attachment 1666870