Acheni visingizio kwahyo Giroud na Abraham ni wazur kuliko Ziyech na Werner??Jamani lampard anajielewa kweli yaani kawaacha akina abraham, joginyo na Giroud wako nje kweli...???
Tunasafirisha mkuu


Matatizo ya timu yangu ni zaidi ya Lampard. Wachezaji hawana morali, confidence, hawajitumi kabisa. Full mauzembe.
Huu mfumo ndo anao liver na unansumbua sana clop ni mfumo dhaifu kwa soka la sasa.Anapenda lakini mfumo haumpendi
Kalavati Havezi... mmekusanya TAKATAKA za kutoshaMendy
Ziyech
Werner
Hawa wote tumepigwa
Mpumbavu kai
Huyu tumebutuliwa kmmk
Sawa,mpira ukiisha tukutane hapaKwa kikosi alichopanga Lampard leo, Tunawafunga mapema tuu.
Hata mimi naona,ehee ngapi ngapi huko mpaka hivi sasa......City wamepanga kikosi dhaifu kutokana na janga la corona Laporte, Edson, Torres, Jesus, Mendy hawapo. Hakika tutamfunga goli za kutosha.
Kama ArsenalKweli nimeamini hatuna uwezo wa kuzifunga Big teams.




Ngapi ngapi huko kaka mpaka hivi sasa.....😀😀Kwa kikosi alichopanga Lampard leo, Tunawafunga mapema tuu.
Walicheza dhidi ya Arsenal pia na wakagongwa 3Jamani lampard anajielewa kweli yaani kawaacha akina abraham, joginyo na Giroud wako nje kweli...???