Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea hali ikiendelea hivi nashauri mumfukuze Lampard kipindi cha mapumziko!
 
Tayari pakti ya kwanza imeisha naona Pep anaomba aongezewe, ukuni tu unatembea Cheltako[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nahisi lampard alisomea mfumo wa 433 make anaupenda hata kama timu inafungwa nao, wenzake wote washauacha yeye bado tu nani mfumo dhaifu kwa sasa.
 
Fununu za usajili zinasema Chelsea inamfukuzia Donnaruma. Yaani ikimsajili itakua na makipa wawili ambao kiwango chao kinawaruhusu kua first team.

Nafasi ya ukipa hadi umpiku mwenzako ni ngumu sana. Martinez akaona bora aende Villa ili awe kikosi cha kwanza, Mendy alikubali kuja chelsea akijua wazi anakua kikosi cha kwanza.

Donnaruma hawezi kuja kama hatohakikishiwa kuanza. Au labda recruitment ya chelsea ina mpango wa kumtimua mendy.

So chelsea itakua na mendy, kepa, cech na donnaruma kwenye benchi

Hao makipa wawili wa kiwango ni pamoja na huyo Mende au[emoji23][emoji23][emoji23]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom