Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Marehemu alikua ana mdomo 'thana',

London will be always [emoji837]

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kama tumemchapa threesome na huku nako anaendelea kugaragazwa ndo akome na mdomo wake na tunasema apigwe tu hakuna namna. Tulichekwa mno huko mwanzo na kejeli kibao sasa zamu yao waje huku.
 
Naona mtu anatiwa adabu huko, daraja linavunjika...
Hadi February naona chelshit ikiwa "kuminasita bora"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom