Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea will stick with Frank Lampard and are not looking to change the manager right now - there has been no contact with any other managers, but the board want to see improvements on the pitch.

- Fabrizio Romano on #podcastherewego
 
Msimu huu nitajitahidi sana kumvumilia Lampard, ila msimu ujao mimi mwenye nitaanzisha tag ya #LAMPARDOUT
 
 
Katika mechi ambazo Ziyech alicheza chelsea walikua na 86 winning percentage. Baada ya majeruhi sasa hivi chelsea ina 33 winning perecentage.

Ziyech siyo kiungo mshambuliaji, ni winger wa kulia. Hii inamaanisha chelsea inategemea crosses kuliko hata ubunifu. Ndiyo maana wengi huona uwepo wa giroud utaleta magoli as giroud hurespond faster kwenye krosi.

Ambaye anatakiwa afanye ubunifu ni kai havertz. Yaani ni kwamba ilitakiwa mtengeneza chansi na mtoa pasi za mwisho awe kai. Ilitakiwa uwepo wa kai uongeze asilimia za ushindi na siyo ziyech.

Maajabu yake mchezaji aliyetengeneza chansi nyingi chelsea ni mason mount, anasemwa vibaya na mashabiki lakini anafanya kazi anayoishindwa kai kwa ufasaha, na hata siyo namba yake. Grealish anaongoza kwa kucreate chances, 51, huku mount akiwa 4 na ametengeneza chansi 34. Wa kwanza mpaka wa tatu wote ni AM.

Werner hajascore game ya 10 mfululizo. Kai ana assisst moja tu. Magoli ya giroud mpaka leo ni mengi kuliko jumla ya magoli ya werner na kai. Wameshaingizwa kwenye worst summer signings.

Nilisema werner siyo mzuri kutokea huko mbali kuna mwenzenu akawa anabisha ila mwaka ambao amescore sana mpaka mnamsajili ni mwaka ambao mbele alichezeshwa na forward mwingine. Yaani werner anaweza akaperform vizuri akiwa burnley kuliko chelsea kwa formation ya sasa.

Kama kawaida ya matatizo ya chelsea yanavyotatuliwa kocha kaomba mpunga mwingine. Jiandaeni kusifia watu wapya.
 
Katika mechi ambazo Ziyech alicheza chelsea walikua na 86 winning percentage. Baada ya majeruhi sasa hivi chelsea ina 33 winning perecentage.

Ziyech siyo kiungo mshambuliaji, ni winger wa kulia. Hii inamaanisha chelsea inategemea crosses kuliko hata ubunifu. Ndiyo maana wengi huona uwepo wa giroud utaleta magoli as giroud hurespond faster kwenye krosi.

Ambaye anatakiwa afanye ubunifu ni kai havertz. Yaani ni kwamba ilitakiwa mtengeneza chansi na mtoa pasi za mwisho awe kai. Ilitakiwa uwepo wa kai uongeze asilimia za ushindi na siyo ziyech.

Maajabu yake mchezaji aliyetengeneza chansi nyingi chelsea ni mason mount, anasemwa vibaya na mashabiki lakini anafanya kazi anayoishindwa kai kwa ufasaha, na hata siyo namba yake. Grealish anaongoza kwa kucreate chances, 51, huku mount akiwa 4 na ametengeneza chansi 34. Wa kwanza mpaka wa tatu wote ni AM.

Werner hajascore game ya 10 mfululizo. Kai ana assisst moja tu. Magoli ya giroud mpaka leo ni mengi kuliko jumla ya magoli ya werner na kai. Wameshaingizwa kwenye worst summer signings.

Nilisema werner siyo mzuri kutokea huko mbali kuna mwenzenu akawa anabisha ila mwaka ambao amescore sana mpaka mnamsajili ni mwaka ambao mbele alichezeshwa na forward mwingine. Yaani werner anaweza akaperform vizuri akiwa burnley kuliko chelsea kwa formation ya sasa.

Kama kawaida ya matatizo ya chelsea yanavyotatuliwa kocha kaomba mpunga mwingine. Jiandaeni kusifia watu wapya.
Acha kutupigia kelele wewe ..umeshinda vigame viwili tu basi unasumbua..peleka ngonjera zako jukwaani kwenu kule..

Piga mbuzi haoooo...

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Katika mechi ambazo Ziyech alicheza chelsea walikua na 86 winning percentage. Baada ya majeruhi sasa hivi chelsea ina 33 winning perecentage.

Ziyech siyo kiungo mshambuliaji, ni winger wa kulia. Hii inamaanisha chelsea inategemea crosses kuliko hata ubunifu. Ndiyo maana wengi huona uwepo wa giroud utaleta magoli as giroud hurespond faster kwenye krosi.

Ambaye anatakiwa afanye ubunifu ni kai havertz. Yaani ni kwamba ilitakiwa mtengeneza chansi na mtoa pasi za mwisho awe kai. Ilitakiwa uwepo wa kai uongeze asilimia za ushindi na siyo ziyech.

Maajabu yake mchezaji aliyetengeneza chansi nyingi chelsea ni mason mount, anasemwa vibaya na mashabiki lakini anafanya kazi anayoishindwa kai kwa ufasaha, na hata siyo namba yake. Grealish anaongoza kwa kucreate chances, 51, huku mount akiwa 4 na ametengeneza chansi 34. Wa kwanza mpaka wa tatu wote ni AM.

Werner hajascore game ya 10 mfululizo. Kai ana assisst moja tu. Magoli ya giroud mpaka leo ni mengi kuliko jumla ya magoli ya werner na kai. Wameshaingizwa kwenye worst summer signings.

Nilisema werner siyo mzuri kutokea huko mbali kuna mwenzenu akawa anabisha ila mwaka ambao amescore sana mpaka mnamsajili ni mwaka ambao mbele alichezeshwa na forward mwingine. Yaani werner anaweza akaperform vizuri akiwa burnley kuliko chelsea kwa formation ya sasa.

Kama kawaida ya matatizo ya chelsea yanavyotatuliwa kocha kaomba mpunga mwingine. Jiandaeni kusifia watu wapya.
Nimeupenda muundo wako wa kuwatukana
 
Katika mechi ambazo Ziyech alicheza chelsea walikua na 86 winning percentage. Baada ya majeruhi sasa hivi chelsea ina 33 winning perecentage.

Ziyech siyo kiungo mshambuliaji, ni winger wa kulia. Hii inamaanisha chelsea inategemea crosses kuliko hata ubunifu. Ndiyo maana wengi huona uwepo wa giroud utaleta magoli as giroud hurespond faster kwenye krosi.

Ambaye anatakiwa afanye ubunifu ni kai havertz. Yaani ni kwamba ilitakiwa mtengeneza chansi na mtoa pasi za mwisho awe kai. Ilitakiwa uwepo wa kai uongeze asilimia za ushindi na siyo ziyech.

Maajabu yake mchezaji aliyetengeneza chansi nyingi chelsea ni mason mount, anasemwa vibaya na mashabiki lakini anafanya kazi anayoishindwa kai kwa ufasaha, na hata siyo namba yake. Grealish anaongoza kwa kucreate chances, 51, huku mount akiwa 4 na ametengeneza chansi 34. Wa kwanza mpaka wa tatu wote ni AM.

Werner hajascore game ya 10 mfululizo. Kai ana assisst moja tu. Magoli ya giroud mpaka leo ni mengi kuliko jumla ya magoli ya werner na kai. Wameshaingizwa kwenye worst summer signings.

Nilisema werner siyo mzuri kutokea huko mbali kuna mwenzenu akawa anabisha ila mwaka ambao amescore sana mpaka mnamsajili ni mwaka ambao mbele alichezeshwa na forward mwingine. Yaani werner anaweza akaperform vizuri akiwa burnley kuliko chelsea kwa formation ya sasa.

Kama kawaida ya matatizo ya chelsea yanavyotatuliwa kocha kaomba mpunga mwingine. Jiandaeni kusifia watu wapya.
Ujue jins kai anavyotumika nitofaut na jins alivyokuwa anatumika leverkusern,
Kule alikuwa anacheza nyuma ya striker ila huku mda mwingi anachezeshwa kiungo wa kulia RM

Ili upate ubora kai na werner inabid wachezeshwe katika namba zao
Kai acheze free role. Na werner acheze no 9

Huku nyuma ya kai kuwepo na 2 dm wanaoweza kumsaidia kwenye kukaba,
 
Katika mechi ambazo Ziyech alicheza chelsea walikua na 86 winning percentage. Baada ya majeruhi sasa hivi chelsea ina 33 winning perecentage.

Ziyech siyo kiungo mshambuliaji, ni winger wa kulia. Hii inamaanisha chelsea inategemea crosses kuliko hata ubunifu. Ndiyo maana wengi huona uwepo wa giroud utaleta magoli as giroud hurespond faster kwenye krosi.

Ambaye anatakiwa afanye ubunifu ni kai havertz. Yaani ni kwamba ilitakiwa mtengeneza chansi na mtoa pasi za mwisho awe kai. Ilitakiwa uwepo wa kai uongeze asilimia za ushindi na siyo ziyech.

Maajabu yake mchezaji aliyetengeneza chansi nyingi chelsea ni mason mount, anasemwa vibaya na mashabiki lakini anafanya kazi anayoishindwa kai kwa ufasaha, na hata siyo namba yake. Grealish anaongoza kwa kucreate chances, 51, huku mount akiwa 4 na ametengeneza chansi 34. Wa kwanza mpaka wa tatu wote ni AM.

Werner hajascore game ya 10 mfululizo. Kai ana assisst moja tu. Magoli ya giroud mpaka leo ni mengi kuliko jumla ya magoli ya werner na kai. Wameshaingizwa kwenye worst summer signings.

Nilisema werner siyo mzuri kutokea huko mbali kuna mwenzenu akawa anabisha ila mwaka ambao amescore sana mpaka mnamsajili ni mwaka ambao mbele alichezeshwa na forward mwingine. Yaani werner anaweza akaperform vizuri akiwa burnley kuliko chelsea kwa formation ya sasa.

Kama kawaida ya matatizo ya chelsea yanavyotatuliwa kocha kaomba mpunga mwingine. Jiandaeni kusifia watu wapya.
Tupe na takwimu za comrade kipepe na Willian😀
 
Ujue jins kai anavyotumika nitofaut na jins alivyokuwa anatumika leverkusern,
Kule alikuwa anacheza nyuma ya striker ila huku mda mwingi anachezeshwa kiungo wa kulia RM

Ili upate ubora kai na werner inabid wachezeshwe katika namba zao
Kai acheze free role. Na werner acheze no 9

Huku nyuma ya kai kuwepo na 2 dm wanaoweza kumsaidia kwenye kukaba,
Werner alishachezeshwa namba 9 akasema mabeki warefu na wana nguvu. The only way atafanya alichofanya RBL ni kuwekwa na mwenzie mbele.

Na kama kai itabidi agewe hiyo free role means formation yenu inabidi iwe 4 3 1 2 au 3 4 1 2.
 
Werner alishachezeshwa namba 9 akasema mabeki warefu na wana nguvu. The only way atafanya alichofanya RBL ni kuwekwa na mwenzie mbele.

Na kama kai itabidi agewe hiyo free role means formation yenu inabidi iwe 4 3 1 2 au 3 4 1 2.
Kwa kai hata 4213/ 4231 itamfaaa

Kwa werner, endapo tusipokuwa na injury yyt naiman werner ataanza kucheza kati,
 
Tupe na takwimu za comrade kipepe na Willian😀
Ana contribution ya magoli zaidi ya 21 kwa mashindano yote.

Katika mechi 10 zilizopita katoa assisst 3 na magoli 2. Kai na Werner katika mechi 10 zilizopita hawana assisst wala goli.

Katika fainali ya FA alitoa assisst ya goli la ushindi. Ana trophy na ameshiriki kuileta, siyo kai wala werner wenye trophy na hakuna aliyeokoa timu mechi muhimu.

Gharama yake amezidiwa na kai.

Willian ana assissts tatu na goli. Kai ana goli moja na assisst moja.
 
Kwa kai hata 4213/ 4231 itamfaaa

Kwa werner, endapo tusipokuwa na injury yyt naiman werner ataanza kucheza kati,
Shida werner akiwa peke yake hapafom kwa hatari kama akiwa na ST mwingine. Nagelsmann alikua anatumia 4 4 2 for a reason, hii formation ilimfanya ascore magoli mengi na ndiyo chelsea mkamuona.
 
Ana contribution ya magoli zaidi ya 21 kwa mashindano yote.

Katika mechi 10 zilizopita katoa assisst 3 na magoli 2. Kai na Werner katika mechi 10 zilizopita hawana assisst wala goli.

Katika fainali ya FA alitoa assisst ya goli la ushindi. Ana trophy na ameshiriki kuileta, siyo kai wala werner wenye trophy na hakuna aliyeokoa timu mechi muhimu.

Gharama yake amezidiwa na kai.
Unachokombilia eti kwenye mechi 10 kwann usifanye overall michuano yote😀....overall michuano yote Kai ana goli 4 ....Werner mpk sasa anacontribution ya goli 8 na ukame wake wa mechi 10.......na huu msimu wao wa Kwanza ...huyo comrade kipepe hamna kitu msimu wake wa pili Ile assist ya FA ni dondokee Tu hamna lolote...yaan busy unamsifia comrade kipepe kabisa😂😂😂
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom