DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,993
- 11,871
Mashabiki wa manyumbu huwaga hawajielewiAcha kuvuta bangi mbichi, Red Devil hajawahi kuwa kibonde kwa Ars8, hata bikra ya unbeaten United ndio alikuvunja..




Mashabiki wa manyumbu huwaga hawajielewiAcha kuvuta bangi mbichi, Red Devil hajawahi kuwa kibonde kwa Ars8, hata bikra ya unbeaten United ndio alikuvunja..




Na manyumbu walichukua ubingwa bila kufungwa 9870 BCUmewekewa record umekuwa mpole, safi! Ulitakiwa tangu mwanzo uwe hivi na sio kuropoka kwa vitu ambavyo huna ushahidi huo tunaita ushabiki maandazi.
Baada ya man u ni chelsea (2012) na liverpool (2019). Timu zilizochukua ligi duniani kwa unbeaten zipo nyingi tu kama Ajax 1994/1996, celtic 2016/2017, Juventus 2011/2012, n.k




Sasa unapitaje na khanga iliyolowa maji wakati wanaume tumejazana hapa msibani?Ndio hakuna. So..?
Hii mechi nilishahisi tunafungwa ndio maana sikutoa comments hapa kabisa before hii mechi, wala prediction ya kikosi wala mfumo.
Kuna rafiki yangu Chelsea kindakindaki tarehe 24 nilimwambia tunafungwa na Arsenal alikataa katakata, akajibu hii Arsenal kibonde inafungwa ovyo ovyo ndio itufunge? Nikamwambia ushindi kwetu ni draw huwezi kuamini.
Jana nimecheki naye game ametukana matusi yote duniani, amelaani sana. Nilibaki nacheka tuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuna timu nzuri sana ila hatuna kocha mzuri, hizo mechi ni kubwa kuliko uwezo wetu
Sent using Jamii Forums mobile app
Baada ya hapo tukawa mabingwa wa epl na kipigo kikubwa (cha aibu) kushushwa kwa arse8.Alafu baada ya hapo?nyumbu bna
Aaaah hongera kwa kuwa na unbeaten trophyNa manyumbu walichukua ubingwa bila kufungwa 9870 BC![]()
Hata mimi niliisanukia mapema,Hii mechi nilishahisi tunafungwa ndio maana sikutoa comments hapa kabisa before hii mechi, wala prediction ya kikosi wala mfumo.
Kuna rafiki yangu Chelsea kindakindaki tarehe 24 nilimwambia tunafungwa na Arsenal alikataa katakata, akajibu hii Arsenal kibonde inafungwa ovyo ovyo ndio itufunge? Nikamwambia ushindi kwetu ni draw huwezi kuamini.
Jana nimecheki naye game ametukana matusi yote duniani, amelaani sana. Nilibaki nacheka tuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Aaaah arse8 bhana unakataa historia huku unajifariji kwa historia ya unbeaten, we ni shabiki maandazi.Nottingham forest nao ni wakubwa kuliko man city![]()
Muujiza wa kufungia mwaka, umefufuka??Mashabiki wa manyumbu huwaga hawajielewi![]()
Bikra ya unbeaten nani alikuvunja??Na manyumbu walichukua ubingwa bila kufungwa 9870 BC![]()
Hapo kwenye game ya Spurs nakataa mkuu hatukupaki basi spurs ndio walipaki hata kwa game ya man u piaMkicheza big matches, Lampard huwa ana-opt kukaba zaidi, na jana game kaianza kwa kukaba pia.
Bahati mbaya Arsenal walikuwa so motivated, na ni kama walicheza wakiwa desperate, kwamba liwalo na liwe.
Vs Tottenham, Man Utd zote mlipaki mkatoka 0 - 0, bado mna game mbili ngumu kumaliza round, Man City na Leicester City.
Hapo kwenye game ya Spurs nakataa mkuu hatukupaki basi spurs ndio walipaki hata kwa game ya man u pia
Kwa hiyo wewe hapo ndie shabiki wa arse8 anaejielewa? Kama unajielewa leta facts na kama hujielewi endelea kuropoka ili kujifurahisha.Mashabiki wa manyumbu huwaga hawajielewi![]()
Na manyumbu walichukua ubingwa bila kufungwa 9870 BC![]()