Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Tumekalia kupiga cross tu, hatuna njia nyingine ya kutafuta goal

Kushinda game za top 6 itakuwa ngumu sana
 
Alonso is far better than Chilwell, sema tuu Chilwell kamzidi Alonso pumzi na kasi lakini kwa ubunifu, kucreate chances na kufunga Alonso is the best.

Sent using Jamii Forums mobile app
1609009711175.png
 
Alonso is far better than Chilwell, sema tuu Chilwell kamzidi Alonso pumzi na kasi lakini kwa ubunifu, kucreate chances na kufunga Alonso is the best.

Sent using Jamii Forums mobile app
Haya maneno yalikuwa wapi mda wote ya alonso
Kitu cha kujua hkuna mchezaji anaeweza cheza game zote kwa kiwango kile kile
Chilwel leo hajacheza vizur same to reece james wameshindwa kuendana na kasi ya kina martinel/bellerin na saka

Kiungo cha kante,kova na mount kilipotena leo
 
Mnatembea na kanga moja mbele ya Wanaume lazima mkanyagwe tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom