Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Huyu LAMPARD bado sana kupewa majukumu ya kuifundisha timu kama Chelsea. Lampard hajui amuanzishe nani ama amtoe nani.

Yaani unakutana na Wolves kisha unamuanzisha Havertz aliye legea mithili ya mrenda kweli, yaani Havertz ni wakumpiga benchi Kovacic kweli.

Huyu Lampard anatutania sana, eti anamtoa Giroud kisha anaingia Abraham.
Kwa dakika alizocheza kovacic je kuna uhai wowote ulionekana, jibu ni hapana hakuna chnces yyt tuliyotengeneza baada ya goal zaidi ya kukaba tu

Tukubali tu leo tumecheza hovyo kuanzia kwa timo,mount n co

Tuliuwa hatuna plan yoyote ya kutafuta goal
 
Lampard bado ni small team coach..

Kuna theory rahisi sana ya mpira
"Never change a winning team"

Sasa pattern ya kante, kova na mount imekupa matokeo mazuri gemu kibao afu unaibadilisha kirahisi rahisi tu .

Eti unataka uaminishe watu kua unaeza fanya rotation na ukashinda...

Kingine, havertz anatakiwa abadilike, hajitumi ,, very weak link kwenye timu yetu..
Hana faida tukiwa na mpira na pia tusipokua na mpira..

Angetakiwa apigwe benchi awe anaingia timu ikishapata matokeo,, hadi atakapo kua tayari kufanya 100% commitment kwa timu...
Yani sijui kama tutafanikiwa kumfunga Atletico kwa utoto wa Lampard, kiukweli leo amezingua mno

Sent from my ONEPLUS A3010 using JamiiForums mobile app
 
Cash money na ollachuga sioni wakichangia mjadala mpaka muda huu heheheheheheheheheehee 2 loss in a rowwwwwwww hehehehehehe
 
Lampard na Kai tumepigwa ni swala la muda tuu
Naanza kuamini hata yale magoli mengi tuliyoshinda ni mbinu za wachezaji binafsi wala si ubora wa Kocha, daaah...! kweli Lampard na Havertz ni magalasa juu ya magalasa, mtu umetoka kumpiga nje ndani msimu uliopita tena kwa rundo la magoli afu leo unamuwekea kikosi tofauti kabisa cha kujaribu matokeo

Sent from my ONEPLUS A3010 using JamiiForums mobile app
 
Ndio maana kikasema Lampard hafai kuifundisha Chelsea.
Kwa dakika alizocheza kovacic je kuna uhai wowote ulionekana, jibu ni hapana hakuna chnces yyt tuliyotengeneza baada ya goal zaidi ya kukaba tu

Tukubali tu leo tumecheza hovyo kuanzia kwa timo,mount n co

Tuliuwa hatuna plan yoyote ya kutafuta goal
 
Lampard ni taahira tu
Naanza kuamini hata yale magoli mengi tuliyoshinda ni mbinu za wachezaji binafsi wala si ubora wa Kocha, daaah...! kweli Lampard na Havertz ni magalasa juu ya magalasa, mtu umetoka kumpiga nje ndani msimu uliopita tena kwa rundo la magoli afu leo unamuwekea kikosi tofauti kabisa cha kujaribu matokeo

Sent from my ONEPLUS A3010 using JamiiForums mobile app
 
Havertz tumepigwa tena ngumi za uso

Huyu Werner ni suala la mda tu

Lampard hafai kuwa Chelsea

Ata mniite plastic fan lakin ukweli ndio huo.

Mm naomba tupigwe mechi 10 mfululizo ili kibiyongo Lampard aondoke.
Lakini kuchagua wachezaji kiusajili anajua kweli mbali na Kai Havertz, sema tu kashindwa kuwa na mbinu mbadala wa kubadilika kulingana na adui anayekutana naye.

Sent from my ONEPLUS A3010 using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom