Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Huyu LAMPARD bado sana kupewa majukumu ya kuifundisha timu kama Chelsea. Lampard hajui amuanzishe nani ama amtoe nani.

Yaani unakutana na Wolves kisha unamuanzisha Havertz aliye legea mithili ya mrenda kweli, yaani Havertz ni wakumpiga benchi Kovacic kweli.

Huyu Lampard anatutania sana, eti anamtoa Giroud kisha anaingia Abraham.
Basi mzee baba tayari BOSS1 Abraham kashasikia kilio chako na sasa hivi anam-zoom tu Lampard kwa next 3 matches only.

Sent from my ONEPLUS A3010 using JamiiForums mobile app
 
Tatizo la Chelsea ni Lampard full stop.

Bora Arsenal wanalia na uongozi wao kwa kushindwa kutoa hela ili wasajili wachezaji wazuri. Sasa sisi Chelsea tunaweza kweli mlaumu boss kwa kushindwa kutoa pesa? Jibu ni bigi NO, Lampard kapewa kila alicho taka lakini ni upuuzi tu anafanya kila uchwao. Tizama Arteta ata kama ana wachezaji wenye kiwango cha chini lakn unaona kile anafanya uwanjani.

Lampard ki mbuni ni bure kabisa alafu ana ujinga sana. Hivi kweli unamtoa Giroud kisha inaingiza takataka Abraham kweli, yaani ningekuwa karibu na Lampard ningemuwasha kofi boya yule.
Lakini kuchagua wachezaji kiusajili anajua kweli mbali na Kai Havertz, sema tu kashindwa kuwa na mbinu mbadala wa kubadilika kulingana na adui anayekutana naye.

Sent from my ONEPLUS A3010 using JamiiForums mobile app
 
LAMPARD OUT LAMPARD OUT LAMPARD OUT LAMPARD OUT LAMPARD OUT LAMPARD OUT LAMPARD OUT LAMPARD OUT LAMPARD OUT LAMPARD OUT LAMPARD OUT LAMPARD OUT LAMPARD OUT LAMPARD OUT LAMPARD OUT LAMPARD OUT LAMPARD OUT LAMPARD OUT LAMPARD OUT LAMPARD OUT LAMPARD OUT LAMPARD OUT LAMPARD OUT LAMPARD OUT LAMPARD OUT LAMPARD OUT LAMPARD OUT LAMPARD OUT LAMPARD OUT LAMPARD OUT LAMPARD OUT LAMPARD OUT LAMPARD OUT LAMPARD OUT LAMPARD OUT LAMPARD OUT LAMPARD OUT LAMPARD OUT LAMPARD OUT LAMPARD OUT LAMPARD OUT LAMPARD OUT LAMPARD OUT LAMPARD OUT LAMPARD OUT LAMPARD OUT LAMPARD OUT LAMPARD OUT LAMPARD OUT LAMPARD OUT LAMPARD OUT LAMPARD OUT LAMPARD OUT LAMPARD OUT LAMPARD OUT LAMPARD OUT LAMPARD OUT LAMPARD OUT LAMPARD OUT LAMPARD OUT LAMPARD OUT LAMPARD OUT LAMPARD OUT LAMPARD OUT LAMPARD OUT LAMPARD OUT LAMPARD OUT LAMPARD OUT LAMPARD OUT LAMPARD OUT LAMPARD OUT LAMPARD OUT LAMPARD OUT LAMPARD OUT LAMPARD OUT LAMPARD OUT LAMPARD OUT LAMPARD OUT LAMPARD OUT LAMPARD OUT LAMPARD OUT LAMPARD OUT
 
Tatizo la Chelsea ni Lampard full stop.

Bora Arsenal wanalia na uongozi wao kwa kushindwa kutoa hela ili wasajili wachezaji wazuri. Sasa sisi Chelsea tunaweza kweli mlaumu boss kwa kushindwa kutoa pesa? Jibu ni bigi NO, Lampard kapewa kila alicho taka lakini ni upuuzi tu anafanya kila uchwao. Tizama Arteta ata kama ana wachezaji wenye kiwango cha chini lakn unaona kile anafanya uwanjani.

Lampard ki mbuni ni bure kabisa alafu ana ujinga sana. Hivi kweli unamtoa Giroud kisha inaingiza takataka Abraham kweli, yaani ningekuwa karibu na Lampard ningemuwasha kofi boya yule.
We mwache tu amshike Bosi Abraham sharubu labda anadhani ana upuuzi wa uvumilivu kama akina Kroenke na Woorward, akipoteza next match usishangae kupewa mechi 2 tu kutetea kibarua chake.

Sent from my ONEPLUS A3010 using JamiiForums mobile app
 
Chelsea hajashinda mechi yoyote dhidi ya team inayoshika nafasi ya 11 kwenda juu..
Lampard ndiye jinga tu, mbona mwaka jana tulimpiga huyo huyo Wolves 5-0 tena tukiwa na kikosi dhaifu na akala tena 3 raundi ya pili? Lampard anachezea shilingi chooni, hajui Bosi Abraham anaipenda Chelsea FC mbali na biashara anayofanya nayo hiyo klabu.

Sent from my ONEPLUS A3010 using JamiiForums mobile app
 
Chelsea hajashinda mechi yoyote dhidi ya team inayoshika nafasi ya 11 kwenda juu..
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png

Hivi bado hajacheza na Westham?
 
Naanza kuamini hata yale magoli mengi tuliyoshinda ni mbinu za wachezaji binafsi wala si ubora wa Kocha, daaah...! kweli Lampard na Havertz ni magalasa juu ya magalasa, mtu umetoka kumpiga nje ndani msimu uliopita tena kwa rundo la magoli afu leo unamuwekea kikosi tofauti kabisa cha kujaribu matokeo

Sent from my ONEPLUS A3010 using JamiiForums mobile app
So ulitaka kikos cha msim uliopita ndio kianze
Tomori,alonso,abraham,kepa,rudiger,azplicueta ndio kikosi kilichocheza msim uliopita hicho

Au point yako ni ipi hapo??
 
Lampard ndiye jinga tu, mbona mwaka jana tulimpiga huyo huyo Wolves 5-0 tena tukiwa na kikosi dhaifu na akala tena 3 raundi ya pili? Lampard anachezea shilingi chooni, hajui Bosi Abraham anaipenda Chelsea FC mbali na biashara anayofanya nayo hiyo klabu.

Sent from my ONEPLUS A3010 using JamiiForums mobile app
Huyo huyo abraham mnamkataa ndie aliyefung hat trick msim uliopita dhidi ya wolves,
Ila leo alivyoingia watu mnaponda sijui kwa kipi giroud alichokifanga kwa dakika alizocheza maana mipira yote ya juu wakina coady,sais na boly waliicheza
 
Huyo huyo abraham mnamkataa ndie aliyefung hat trick msim uliopita dhidi ya wolves,
Ila leo alivyoingia watu mnaponda sijui kwa kipi giroud alichokifanga kwa dakika alizocheza maana mipira yote ya juu wakina coady,sais na boly waliicheza
So mkeo akiishi nawe vizuri mwaka huu kwa heshima zote afu mwakani akakusaliti au kukupiga makofi mbele za Watu ndiyo hutamkanya wala kumkosoa zaidi ya kumwambia tu "Nakupenda sana Baby" si ndiyo? hizo ni akili za usiku, amka haraka hapo kitandani uache kuota usije ukaloanisha godolo.

Sent from my ONEPLUS A3010 using JamiiForums mobile app
 
So ulitaka kikos cha msim uliopita ndio kianze
Tomori,alonso,abraham,kepa,rudiger,azplicueta ndio kikosi kilichocheza msim uliopita hicho

Au point yako ni ipi hapo??
Point yangu ni mbinu mbadala za kumkabili adui mbali na formation za wachezaji au kikosi husika.

Siyo kila mechi unatakiwa uongoze ball possession tu bali uwe bora kiubunifu zaidi

Sent from my ONEPLUS A3010 using JamiiForums mobile app
 
Alfu watu kama nyie ndio mna tuchelewesha sana
Huyo huyo abraham mnamkataa ndie aliyefung hat trick msim uliopita dhidi ya wolves,
Ila leo alivyoingia watu mnaponda sijui kwa kipi giroud alichokifanga kwa dakika alizocheza maana mipira yote ya juu wakina coady,sais na boly waliicheza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom